Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,134
Hili naungana na wewe. Bahati nzuri mimi natembea sana maeneo tofauti tofauti kutokana na shughuli zangu hivyo nimejionea kwa macho sio kusimuliwa.Hivi unajua kuna mila ambazo hadi leo zinakeketa wanawake?
Unajua kuna maeneo hadi leo mwanamke ruhusiwi kusoma na anaozwa akiwa na miaka 6 kwa lizee la miaka 50?
Unajua kuwa wanawake wangapi wapo kwenye ndoa lakini wananyanyasika? Mume haachi matumizi akirudi kalewa anapiga kwanzia mke hadi watoto?
Hayo ni machache, msiwe mnajadili mambo ambayo hamyajui .
Binafsi ni muumini wa haki sawa na sijawahi pata shida yoyote kwwnye familia yangu.