Jamii inaanzia kwenye uimara wa ndoa , jamii iliyojaa ndoa zilizosambaratika zinazalisha tabaka ovu lenye mchango duni kwa jamii na taifa . Hata hapa Tanzania jamii za wahindi na waarabu na wapemba zenye kujali sana uimara wa ndoa hata kimaendeleo zipo mbele ya jamii za makabila mengine yote hapa Tz , kama unabisha itisha kongamano la wanawake wa kipemba , waarabu na wahindi halafu uwaletee huo upuuzi wa kumkomboa mwanamke ipo lugha hata Zanzibar sasa hivi inatumika na inaeleweka kauli mbiu kama usimnyanyase na kumzalilisha, kubaka mwanamke hata uarubuni wazungu waliopelekq mabadiriko huko wanatumia
Lugha nyepesi mfano sio vizuri kumkataza mwanamke kuendesha gari nk hutasikia etu uhuru wa mwanamke wa kumiliki . Uhuru ni kuleta ubinafsi , matengano mwishoe mifarakano isiyo na muafaka SEMENI MAENDELEO KWA MWANAMKE KWA FAIDA YA FAMILIA YAKE MUME WAKE NA WATOTO kwani mtapungikiwa nini ? Hata kama inatokea mwanamke ana kipato zaidi ya mwanaume kwa dunia ya sasa si amechuma akiwa akiwa ndani ya ndoa si inakuwa heri kwa mustakabali wao na watoto ? . Kuhusu manyanyaso , ulevi , uashareti ,matumizi ,
Mabaya ya vipato dawa sio mwanamke apate mali ili
Na yeye amnyanyase mwanaume ndio mafunzo ya yasiotakiwa hayo . HIVI EMAU MBONA WAKO KIMYA SANA SIKU HIZI EMAU YA AKINA MAMA KUNDYA ?;
E- Elimu
MA-Malezi
U- Umma
~Elimu ya malezi bora ya umma