Nawaamkia kwa maamkizi wote watoto na wavyele.
Huu ni muendelezo wa pale nilipoishia katika mada zangu kuwahusu hawa wenzetu, wenzetu ambao ni mama zetu, dada zetu, jirani zetu, watoto wetu na wake zetu pia.
Kila siku tunasikia mikutano, matamasha, makongamano na sherehe pia ya kuwa Mwanamke amekombelewa kutoka katika dhiki na manyanyaso au anaendelea kukombolewa.
Swali langu amekombelewa toka wapi na sasa yuko wapi na ipi faida ya kukombolewa Mwanamke na hasara zake ni zipi?
Tanbihi: Hamasa hasi na mihemko hapa si mahala pake, bali hoja na bayana na upole na uadilifu hapa ndiyo mahala pake.
Karibuni sana.
Huu ni muendelezo wa pale nilipoishia katika mada zangu kuwahusu hawa wenzetu, wenzetu ambao ni mama zetu, dada zetu, jirani zetu, watoto wetu na wake zetu pia.
Kila siku tunasikia mikutano, matamasha, makongamano na sherehe pia ya kuwa Mwanamke amekombelewa kutoka katika dhiki na manyanyaso au anaendelea kukombolewa.
Swali langu amekombelewa toka wapi na sasa yuko wapi na ipi faida ya kukombolewa Mwanamke na hasara zake ni zipi?
Tanbihi: Hamasa hasi na mihemko hapa si mahala pake, bali hoja na bayana na upole na uadilifu hapa ndiyo mahala pake.
Karibuni sana.