Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
kama jina linahifadhiwa wameandikia story ya nini? Ili iweje ? Wanamhifadhia nani ?
Mtandao unahifadh network
kama jina linahifadhiwa wameandikia story ya nini? Ili iweje ? Wanamhifadhia nani ?
Mimi namtaja huyu ni Nyalandu Lazaro
ila wakuu naanza kumeza kabisa dawa za maumivu kwa kuwa Kucha na meno ni mali yao.
mtaje tumfahamuMimi namfahamu Katibu jangili
Gazeti kama gazeti wamefanya yao tayari! !!!!!
Huu sio uchunguzi wa mwandishi hata siku moja, "hii ni kazi" na imefanywa na "WATU" sasa hawa walioandika lazima wamepewa conditions za kuandika, ndio maana ile "sheria" ikirudi mengi yatakuwa yanawezekana sababu hapa ingekuja repoti na kazi ingekuwa saa hizi iko mwishoni lakini mchagua mchele sio mpishi so hata mkilaumu chakula sio kitamu yeye hana la kufanya!!!!
Katiba ina mengi ya kusaidia kuliko idadi ya serikali ila wanaelekeza mjadala huko makusudi ili pingu zibaki wazi waingize mikono na kutoa bila kubanwa!!!!
"Jina limehifadhiwa kwa sasa"... Ili iweje?
Sasa huku kwetu kuna mbunge gani aliyepigia kelele hela za Swiss kama siyo Mpina? Pia na yeye bado ni kijana kwa taarifa yako! Yuko under 40!
hiyo ni PART I, PART II itakuwa titled "WAZIRI JANGILI SI JANGILI TENA"
hiyo ni PART I, PART II itakuwa titled "WAZIRI JANGILI SI JANGILI TENA"
Wewe ndu.ku.M mapovu ya nini sasa?Umelewa gongo, mnatengeneza majungu hao hao mnaanza kuyakwepa, mtajeni huyo Waziri mnaetaka kumpaka matope muone kama hamjaozea segerea kwa kukosa kuthibitisha uzushi wenu.
Je yule anayetokea kigoma mwanzilishi wa hayo mabilioni ya uswis hahusiki hapo.
Kigoma n kanda ya Ziwa? Acha kulazimisha mamboJe yule anayetokea kigoma mwanzilishi wa hayo mabilioni ya uswis hahusiki hapo.