Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,709
Aiseee!
Hivi kumbe!!!!!
Hivi kumbe!!!!!
Kwa vyovyote vile huyu waziri ni Mamndeyi. Maana ndiye waziri mwenye kuiongoza wizara nyeti hapa JF, na aliteuliwa uwaziri awamu ya mwisho. Chonde chode baada ya kukutaja usije ukaning'oa kucha meno bila ganzi.