Ni hatari, Waziri jangili huyu hapa

Ni hatari, Waziri jangili huyu hapa

Tawire mganga.
Nyalandruu,zzitoo.
Tawire???
Jei kei naye yumo tawiree!!
 
Hata mimi naona kama kuna Nyalandu na maestro Zitto. Hawa jamaa matajiri na wapo close na mkuu wa nchi ndiyo maana hawachukuliwi hatua! Unafikiri mkuu hajui? Tz ni moja ya nchi yenye the best intelligence system in the world!!

Best intelejensia ya kutumia virungu au kufuatilia UKAWA zaidi ya hapo j
hakuna kitu hapo.
 
......Unafikiri mkuu hajui? Tz ni moja ya nchi yenye the best intelligence system in the world!!

Tanzania unayoizungumzia wewe sio hii ya sasa, Tanzania unayoisema wewe ilikuwa enzi za Mwalimu!
 
Mimi namtaja huyu ni Nyalandu Lazaro
ila wakuu naanza kumeza kabisa dawa za maumivu kwa kuwa Kucha na meno ni mali yao.
 
habari hii imekaa kimbea mbea hivi!kama unadetails za kutosha si unataja majina kwani cha kuficha ni kipi sasa hapa??haikuwa na haja ya kuileta hapa habari kama hii ambayo kila kitu kimehifadhiwa!magazeti mengine haya ni ya kufungia maandazi.
 
Bangi mbaya sana hata kwenye magazeti sasa bangi imeingia
 
Zitto sio mbunge wa Kanda ya Ziwa yupo wazi aliisemea hela ya uswis mbunge wa kanda ya ziwa aliyekuwa anamuunga mkono Zitto,tumuache Zitto apumue
 
naona dalili za mtu kunyofolewa kucha na kupondwa korodani hapa.wenye ujasiri tajeni
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari. Tangu walipozuiliwa kuingia na vitendea kazi katika mkutano wa 'mmiliki' wa Dowans, niliwadharau na kuwaona wapuuziii kabisa....
 
Tanzania tuna aina nyingi mno za mawaziri:-
1. Warizi Jangili
2. Waziri Mizigo
3. Waziri Kivuli
4......
5.........

Heee!Tuo juu kama wajeremani.
 
Haya yatakuwa yale yale majungu kwa Katibu Mkuu wa CCM. mbona majina yamehifadhiwa , majina yamehifadhiwa, majina yamehifadhiwa , kwa nini?
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari. Tangu walipozuiliwa kuingia na vitendea kazi katika mkutano wa 'mmiliki' wa Dowans, niliwadharau na kuwaona wapuuziii kabisa....

Binafsi nashindw kuelewa maana ya MEDIA, wanawezaje kuwa na majina ya watu kama hao halafu wanabaki kusema majina tunayahifadhi majina tuanayahifadhi, kama siyo majungu ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom