TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Atakuwa waziri kivuli na KUB
Sent from my iPhone using JamiiForums.
Taarifa hii imetaja sana watu kutoka mikoa ya kaskazini, sitashangaa.
Atakuwa waziri kivuli na KUB
Sent from my iPhone using JamiiForums.
Mods niruhusini nimchane waziri huyu
Kila kitu kimefichwa, namba ya simu, jina, aagh!
Wizara nyeti ni ya fedha,ulinzi,na mambo ya ndani full stop. Hapa atakua ni mchumi wa daraja la kwanza.
Haya mambo ya kuhifadhihifadhi majina ndiyo yanatuchelewesha kukomesha ufisadi nchini!
Mkuu hakuna haja ya kuomba kibali kwa mods, achanwe tu! Mimi ngoja nimchane mbunge wa kanda ya ziwa aliyepigia kelele pesa ya Swiss, huyu atakuwa Luhaga J. Mpina! Tunaomba ajitokeze hadharani kujibu hizi tuhuma za Raia Mwema!
Haya mambo ya kuhifadhihifadhi majina ndiyo yanatuchelewesha kukomesha ufisadi nchini!
Mkuu hakuna haja ya kuomba kibali kwa mods, achanwe tu! Mimi ngoja nimchane mbunge wa kanda ya ziwa aliyepigia kelele pesa ya Swiss, huyu atakuwa Luhaga J. Mpina! Tunaomba ajitokeze hadharani kujibu hizi tuhuma za Raia Mwema!
Anatembelea Singida,analala katika Hoteli ****,amekabidhiwa wizara nyeti hivi karibuni (Presumably ya senti senti na chenji kidogo).
Huyu atakuwa naniiii aah naniiii.Loh jina limenitoka tena.
....Ngoja tusubiri labda wiki ijayo wanaweza kuamua kushuka na more details ambazo zitazidi kumuweka wazi muhusika.
Kabla mtu hajateuliwa kuwa waziri security services haimfanyii uchunguzi? Iweje sasa kuwepo waziri mwenye shutuma kubwa kiasi hiki? Kama hizi habari zina ukweli wowote nina hakika kabisa anajulikana na vyombo vya usalama na hata akitajwa ni nani hakuna hatua itakayochukuliwa dhidi yake.
Inaudhi sana hii kitu, kama wana ushahidi kiasi hiki kwanini wasianike kila kitu hadharani? Raia Mwema najua baadhi yenu mnapita huku badilikeni katika uandishi wenu ili mkiamua kuandika habari ya ufisadi/ujangili au rushwa basi muweke kila kitu hadharani.
Kulikuwa na haja gani ya kuwahi kuiweka hewani kabla hawajawahoji wahusika? Au ndo kanuni ya kuuza habari moja mara mbili kuzingatiwa baada ya kuhojiwa na kuichapa the same habari kwa mara ya pili?kaka hiyo inatokana na kanuni za kiuandishi,lazima umuhoji kwanza mhusika akikujibu ndo unataja jina,bila kusikiliza upande wake wa stori,utaonekana umevunja maadili ya kiuandishi,na sababu nyingine labda wasije wakaharibu uchunguzi,ila kwa mwenye kung'amua atajua wahusika.
Ni Membe
Haya mambo ya kuhifadhihifadhi majina ndiyo yanatuchelewesha kukomesha ufisadi nchini!
Mkuu hakuna haja ya kuomba kibali kwa mods, achanwe tu! Mimi ngoja nimchane mbunge wa kanda ya ziwa aliyepigia kelele pesa ya Swiss, huyu atakuwa Luhaga J. Mpina! Tunaomba ajitokeze hadharani kujibu hizi tuhuma za Raia Mwema!