Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,472
- 527
umeshaambiwa waziri kutoka SINGIDA na ameteuliwa juzi yaani baada ya kuunda baraza jipya la mawaziri, me najua aliye ukwaa uwaziri kutka singida ni naibu waziri mkaaa mia.
mkaa mia ni dodoma labda useme mguu wa chember