km namwona Zitho kabwe....loading....
Inekugusa eh?Mods, ondoa hii habari ya kipuuzi. Hapa JF we dare to speak freely and openly, sasa huyu mwandishi uchwara asilete majungu hapa. Kama habari hii ingekuwa ya kweli basi angeanika kila kitu vinginevyo ni majungu yasiyo mbele wala nyuma.
Tungekuwa na serekali makini, wamiliki wa raia mwema wangetakiwa wakamatwe ili wamtaje. By the way, kama kweli serekali haijui majangili ya tembo, basi haina sifa ya kuwa serekali. Usalama wa taifa wanajua na serekali inajua na raisi anajua na amesema hayo akiwa CNN ila serekali yetu haiwezi kufanya chochote kwa sababu yenyewe ni serekali ya kulinda waovu kwa sababu hakuna msafi pale. Usitegemee kitu, hata kama Raia Mwema ingemtaja ingekuwa mchezo wa kuigiza tu. Tanzania itakombolewa na chama kingine sio CCM
Tungekuwa na serekali makini, wamiliki wa raia mwema wangetakiwa wakamatwe ili wamtaje. By the way, kama kweli serekali haijui majangili ya tembo, basi haina sifa ya kuwa serekali. Usalama wa taifa wanajua na serekali inajua na raisi anajua na amesema hayo akiwa CNN ila serekali yetu haiwezi kufanya chochote kwa sababu yenyewe ni serekali ya kulinda waovu kwa sababu hakuna msafi pale. Usitegemee kitu, hata kama Raia Mwema ingemtaja ingekuwa mchezo wa kuigiza tu. Tanzania itakombolewa na chama kingine sio CCM
Mbona hamsomi habari kwa makini jamani!?
Imeandikwa kuwa waziri huyo na mtandao wake tayari wanafahamika na vyombo vya usalama!
Labda tuhoji kwanini havichukui hatua stahiki.
"Jina limehifadhiwa kwa sasa"... Ili iweje?
Anatembelea Singida,analala katika Hoteli ****,amekabidhiwa wizara nyeti hivi karibuni (Presumably ya senti senti na chenji kidogo).
Huyu atakuwa naniiii aah naniiii.Loh jina limenitoka tena.
nyalandu ni mwizi muoneni vile vile na sura yake kama kiongozi wa kwaya ya wazee
huyo katumwa na Kikwete mwenyewe