Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,220
raia mwema wanazingua kila kitu tunahifadhi kwa sasa......mwandishi jina kaficha ,mawakala majina yamefichwa,no za simu zimefichwa kichwa cha habari " waziri jangili huyu hapa" ukisoma unashindwa hata kugesi ni nani!!!! upuuzi mtupu kama gazeti la udaku.