Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
That is your answer ee?
Yes...! What is a problem of having 100 lovers, provided you all love each other?
That is your answer ee?
Kwa hiyo sasa inawezekana kupisha wengine kwa zamu yao...? Lakini kwani kushare pipi isiyoisha kuna tatizo gani? Tena kila mmoja akishamung'unya huoshwa kabla haijatumika na mwingine...!Si unakuta kazi aliyotakiwa kufanya ameshakamilisha!!Kama aliolewa ili azae kashazaaa...kama mwanamke nae aliolewa kwaajili ya vijicenti kashachota size yake!!
Ha ha..Lizzy bwana, you're funny!..baadhi ya watu wako strategically siku hizi!!..so hard to tell kama unapendwa kumbe inapendwa EU/US passport)
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Rose we chiz wallah nimecheka hadi nimelia
eti mimba yako nikaiache wapi duh!!
Kwa hiyo sasa inawezekana kupisha wengine kwa zamu yao...? Lakini kwani kushare pipi isiyoisha kuna tatizo gani? Tena kila mmoja akishamung'unya huoshwa kabla haijatumika na mwingine...!
Kama huyaoni je?
Maana kuna watu tafuna ya mwenzie haipendi...anavyokula mkate wake hapendi....anavyolala hapendi...tembea yake hapendi....anavyotazama hapendi...anavyoshika remote hapendi....imba yake hapendi....oga yake hapendi...vaa yake ndo kabisa hata avae nini hapendi....ongea yake hapendi...masikio yake hapendi....
Wewe huwezi sawa... Ila kuna watu wengi tuu wameolewa kwasababu fulanifulani, ni lazima ukubaliane nami katika hilo BelindaJacob...Sababu kubwa inatakiwa kuwepo ni upendo wa dhati.
Binafsi siwezi kuolewa na mtu kwa sababu ya kitu fulani..
Tatizo ni moja tu, unaweza kumpenda mtu ila hujui kama yeye amekupenda vile vile?!
dah! afazali kama hawajaona! nilishtuka kweli aisee.Dayyyyym nlidhani tupo PM....sidhani kama wameona lakini!
Yes...! What is a problem of having 100 lovers, provided you all love each other?
Mh!.. Uwehi kuona imetokea sehemu yoyote au kwa mtu yoyote... As far as i know love is a natural thing it can't be lent!
Haya Lizzy... Come on thenKhaaa!Huko ni kwingine....swala hapa ni mapenzi na sio matananio ya kimwili!!!
Tuendelee sasa.....
Ndoa mbaya nazo hua zinawaathiri sana watoto...unaweza ukadhani kwa wewe kubaki ndo unawasaidia kumbe ndo kwanza unaharibu kila kitu.
Ni kweli Lizzy but in reality unawezaishi na mtu kindoa halafu akawa hana jema hata moja??
Hata hayo uliyoyasema yanarekebishika ukiamua (Isipokuwa yale ya maumbile) But kama hupendi avaavyo, mvishe utakavyo wewe, kama hupendi anavyokula,tembea,shika remote, ongea ...........mrekebishe kwa kumweleza (Kama kuna elezeka lakini).
Ha ha..Lizzy bwana, you're funny!..baadhi ya watu wako strategically siku hizi!!..so hard to tell kama unapendwa kumbe inapendwa EU/US passport)
Ni kitu gani kinachokufanya usimpende labda tuanzie hapoUnadhani haiwezekani!??.
Mh!.. Ukibaki ndo unaharibu?? How?
.................Unless kuna physical, verbal or psychological abuse. Lakini kama hakuna na wahusika wanajitahidi kutoonyeshana basi watoto ni bora wakalelewa na baba na mama. Na pia ikumbukwe kuwa panapokuwa na ndoa ya aina hii mara chache sana utakuta wanandoa wote wawili hawana love to each other......mara nyingi huwa ni mmoja na mwingine huwa anampenda mwenzie.......na kwa wastaarabu hawawaambii wenzi wao kuwa hawawapendi kihivyo.utakuta tu anakaa nalo moyoni na likizidi anatafuta ushauri nje ........kama huyu avatarNdoa mbaya nazo hua zinawaathiri sana watoto...unaweza ukadhani kwa wewe kubaki ndo unawasaidia kumbe ndo kwanza unaharibu kila kitu.
Utaendelea kuteseka katika ndoa kisa watoto mpaka lini
wengine wanafanya wanavyotaka wakijua huwezi ondoka kwa ajili ya watoto
hakuna upendo umekuwa kiwanda cha kuzalisha watoto
Wapo aisee...na hawawezi kufikiria kumrekebisha au kumsaidia ajirwkebishe kwasababu hawajali.Hujawahi kusikia mtu anamwambia mwenzie "sijui hata nilikupendea nini" au "you were never good enough for me"!?Yapo sana haya...ni vile tu hujashuhudia!
Sababu kubwa inatakiwa kuwepo ni upendo wa dhati.
Binafsi siwezi kuolewa na mtu kwa sababu ya kitu fulani..Najiamini na siku nikila hicho kiapo najua ni for real!..Tatizo ni moja tu, unaweza kumpenda mtu ila hujui kama yeye amekupenda vile vile?!
Hata hivyo kutoka nje ya ndoa si suluhisho bali ni unafiki. kwanini usiachane na mtu ukaenda kwa ulimzimikia ki ukweli!!..