Ni haki kupenda!?

Hivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?
its a million dollar question. But for me I always have this confidence that I can turn hater into Lover. I did it in few occasions and it worked, it started as a nightmare and end up in real perfect match. BUT if you are not Klorokwin then DONT TRY THIS AT HOME. ni bora mkaachana.
 
FL1 kuna mada nikiziangalia huwa zinanipa wakati mgumu sana kusema lolote, mioyo yetu huwa inabeba siri nzito sana na wakati mwingine huwa ni ngumu hata kuzisema what if kama unampenda sana,halafu yeye anapenda kwingine utajuaje?mambo mengine ni kuyaacha yalivo as far as ananiheshimu na kutimiza wajibu wake naamini napendwa hata kama sivo ndivo.
Chauro..
 
its a million dollar question. But for me I always have this confidence that I can turn hater into Lover. I did it in few occasions and it worked, it started as a nightmare and end up in real perfect match. BUT if you are not Klorokwin then DONT TRY THIS AT HOME. ni bora mkaachana.
Kwahiyo ile Nightmare ya INFIDELITY ikaja kuwa a real perfect match
 
FL1 kuna mada nikiziangalia huwa zinanipa wakati mgumu sana kusema lolote, mioyo yetu huwa inabeba siri nzito sana na wakati mwingine huwa ni ngumu hata kuzisema what if kama unampenda sana,halafu yeye anapenda kwingine utajuaje?mambo mengine ni kuyaacha yalivo as far as ananiheshimu na kutimiza wajibu wake naamini napendwa hata kama sivo ndivo.

Ndio maana Jide aliimba usiusemee moyo
Lakini pale madhabauni huwa tunasema kwa msaada wa mungu nisaidie.
Hebu na mie ni zip my lips
 
Embu tuanzie hapa, kwani wewe umeolewa? umeoa? una mpenzi unampenda mpaka unatokwa na vipele vya msisimko ukimwona? tujuze ili tukupe ushauri wa kukufaa
 
Hivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?

I'll set her free!..
 
Avatar
siwezi kuwaabandon watoto wangu kwa mtu ambaye hakuwai kuwa na mapendo kwangu
wengine wanaona watashindwa kulea watoto pindi wanapotalikiana hakuna kitu ni kujiamini
na kuwa na mikakati na mipangilio ya maisha. watoto wangu wataambatana nami popote nitakapo kwenda


Unahisi atakubali uondoke na watoto wake??
 
:biggrin1:Gaga huu mtihani maana unaweza kuwa na uhusiano nje mara mhusika nae anatangaza ndoa au anahamia mbali na kuanza maisha mengine
sijui utatafuta mwingine tena , La ndoa ivunjwe swirry cause mambo ya cheating yanaumiza sana pale mmoja atakapogunda anaibiwa ,ndo maana watu wanachomana visu ,wanapigana shaba kama Afisa Mipango pale Dom haya yote ni mapenzi ya wizi..
Haya mambo nahisi ni muhusika tu ndio anajua atafanyaje, ila naona mtoa mada yamemfika haswa, lil ndoa hz
 
Probably, the question here could be if una haki ya kuachana na mtu uliyemwoa/uliyeolewa naye.

Majibu ya swali hili yangekupa majibu ya swali lako!
As far as i know... Tungeingia kwenye udini endapo kama ningeuliza hivyo...
By the way, nliyenae siwezi kumwacha pamoja na kwamba simpendi.
 
Back
Top Bottom