Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
- Thread starter
- #41
Mh!.. Kwann huamini? Kuna sababu nyingi sana za mtu kuoa mtu fulani au kuolewa na mtu fulani!..Huwa siaminigi watu wanaoana tu kwa maonyesho,
Mh!.. Kwann huamini? Kuna sababu nyingi sana za mtu kuoa mtu fulani au kuolewa na mtu fulani!..Huwa siaminigi watu wanaoana tu kwa maonyesho,
Rose1980, kuna factors nyingi sana zinazompelekea mtu kumuoa mtu fulani...
E.g.
1. Influence ya wazazi.
2. Money/wealth.
3. Kutafuta uraia wa nchi fulani.
4. Security reason.
5. Inawezekana ukakutana na ur right one baada ya ndoa
6. Unplanned pregnancy
.................. Etc
Kutokana na uwezo wako wa kupambanua mambo.. Mtu aliyeoa kutokana na sababu above ana haki ya kupenda?
If you want to................!! Concentrate kwenye mazuri yake tu
Zimeunganishwa na watoto!..
Kwasababu we ni mhanga wa hili....hivi si umeshapata umuache?!heheeh hii sredi nzima nimeona hapo red tu. :tape:
Love is not a Crime...!WanaJF habari zenu!...
Kuna kitu kidogo kinanisumbua, hivi kwa mtu ambaye ameoa 'out of love'..
Yaani amemuoa mtu asiyempenda ana haki ya kuwa na mpenzi nje ya ndoa ambaye he/she truly loves?
<br />WanaJF habari zenu!...<br />
Kuna kitu kidogo kinanisumbua, hivi kwa mtu ambaye ameoa 'out of love'.. <br />
Yaani amemuoa mtu asiyempenda ana haki ya kuwa na mpenzi nje ya ndoa ambaye he/she truly loves?
Khaaaaa! :tape:Kwasababu we ni mhanga wa hili....hivi si umeshapata umuache?!
Hahahaha....! Sasa amebakiza kupenda nini mamy? Haya ni matokeo ya Hit & Run....!Kama huyaoni je?
Maana kuna watu tafuna ya mwenzie haipendi...anavyokula mkate wake hapendi....anavyolala hapendi...tembea yake hapendi....anavyotazama hapendi...anavyoshika remote hapendi....imba yake hapendi....oga yake hapendi...vaa yake ndo kabisa hata avae nini hapendi....ongea yake hapendi...masikio yake hapendi....
Oh, no!.. Blaki Womani, uko tayari kuwaabandon ya kids because of 'love'??.. tell me ur kidding!..Utaendelea kuteseka katika ndoa kisa watoto mpaka lini
wengine wanafanya wanavyotaka wakijua huwezi ondoka kwa ajili ya watoto
hakuna upendo umekuwa kiwanda cha kuzalisha watoto
If you want to................!! Concentrate kwenye mazuri yake tu
Love is not a Crime...!
Yeah, something like that... But ukisema 'Ndani ya ndoa ya wasiopendana sio wanaochukiana' utakua more right!..<br />
<br />
Cjaelewa unaongea nin.inamana ukiwa "NDANI YA NDOA YA WACHUKIANAO'' unahaki ya kutafuta mwingine au unamaanisha nini?
Khaaaaa! :tape:
Mh!.. Kwann huamini? Kuna sababu nyingi sana za mtu kuoa mtu fulani au kuolewa na mtu fulani!..
Hili ni Janga kuzidi Janga la Njaa na lile la mgawo wa umeme. Yaani umeoa halafu huyo mtu haumpendi dah hizi sinema za kihindi hizi ngoja niendelee ku-digest hapa
Si unakuta kazi aliyotakiwa kufanya ameshakamilisha!!Kama aliolewa ili azae kashazaaa...kama mwanamke nae aliolewa kwaajili ya vijicenti kashachota size yake!!Hahahaha....! Sasa amebakiza kupenda nini mamy? Haya ni matokeo ya Hit & Run....!
Kwasababu we ni mhanga wa hili....hivi si umeshapata umuache?!
Oh, no!.. Blaki Womani, uko tayari kuwaabandon ya kids because of 'love'??.. tell me ur kidding!..