sjosh4
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 888
- 942
Dis kwa sista PZey b ft juma nature- nipo Gado Sina uhakika na jina la wimbo Ila bonge moja la ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Dis kwa sista PZey b ft juma nature- nipo Gado Sina uhakika na jina la wimbo Ila bonge moja la ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana Hii ngoma Rozay kamchana Birdman alivotaka kununua nyumba ya Producer Scout Staunch alipozidiwa na uteja, anamsifia sana Dj Khaleed ni loyal.Ingekuwa mbele ningetaja ya RICK ROSS - IDOLS BECOME RIVALS, DISS KWA BIRDMAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jinsia yako tafadhali
Nakumbuka Kuna mstari mmoja anasemaIkianza anasema "Hii ya wakubwa hii ya baba yenu"
Amemdis mpaka le prezdaa awamu Iliyopita.
Ametukana sana wasanii kwenye hiyo diss track
Distributed Denial-of-Service



Ingekuwa mbele ningetaja ya RICK ROSS - IDOLS BECOME RIVALS, DISS KWA BIRDMAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaaaa hajavunga.Noma sana Hii ngoma Rozay kamchana Birdman alivotaka kununua nyumba ya Producer Scout Staunch alipozidiwa na uteja, anamsifia sana Dj Khaleed ni loyal.
Huyu dogo ndo aliyemchana mondi kipindi kile auKuna Dogo anaitwa SKIDE mtoto wa mama SHAMTE..
Huyu ngima zake zote ni DISS TRACK KWA WASANII WAKUBWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kamchana kavuJamaaaa hajavunga.
Dah hii ilikua nomaAntvirus (Sugu+his fellows) dis kwa clouds.

Fid q alimtema nje mshkaj wake huyu rado akazama studio..
Rado akatoa hiyo diss