Umeua"Halafu mi naitwa Young Killer msodoki siyo young killer mfodhoki"
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabong bana...Umeambiwa dis track za hap bongo ww unaleta ukatuniIngekuwa mbele ningetaja ya RICK ROSS - IDOLS BECOME RIVALS, DISS KWA BIRDMAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew wamesema taja Dis track sio kudis Taifa... Mambo ya wabongo sijui nini hayajatajwaWabong bana...Umeambiwa dis track za hap bongo ww unaleta ukatuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkiipend"Una mambo ya kishost leteni ugal plain maana mwaba ameroast"Yule killer ni mwamba sana nasubir kwanza atakavomnyamazisha lunya maana yule anafosi kiki kwa killah
yess BiShoo haswaaAaa
Nomaah sana hyoNkiipend"Una mambo ya kishost leteni ugal plain maana mwaba ameroast"
Sent using Jamii Forums mobile app

Fid q alimtema nje mshkaj wake huyu rado akazama studio..RADO - USIULIZE
AT - VIFUU TUNDU
OFFSIDE TRICK - DEGE, KIDUDU MTU
DIAMOND - ALL THE WAY UP
Ahaaaaaaaaaaa tuipe muda ni mapema sana.Futi sita. Mawenge kamzika Mbishi
Hii sikuinyaka labda wanaoifahamu watuelezee yaitwaje hii ngoma
Ndio ndio mambo ya vidole juuUtalijua Jiji- Modern Taarab
Hii imenichekeshaKuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa.(Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"
Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.
Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.
"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."
Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"
Sent using Jamii Forums mobile app




huyu mshikaji anatukana dunia nzimaNikki mbishi hajajibu tu hiyo "FUTI SITA"1. Piga manati - East Coast Team
2. Futi 6 - P the Mc
3. Usiulize - Rado
4. Ndege tunduni - Wanaume Halisi
5. Neema wa Mitego - Nikki Mbishi
6. Niki mbichi - Kimbunga Mchawi
7. Young Killer diss kwa NEY
8. Kuna zile za O-Ten na Afande Sele
9. Ama zangu ama zao
10. Hii Leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza jibu muda ukiwa sio rafiki tena, ingawa ni ngumu sana kuamini kama itawezekana mana tayari Jina la wimbo ni tishio.N
Nikki mbishi hajajibu tu hiyo "FUTI SITA"