Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa. (Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"

Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.

Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.

"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."


Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"

Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi Chuma wa Moro!
 

Attachments

*Juma Nature - "Jinsi Kijana" diss kwa Inspekta Haroun.
*Dudu Baya - "Nidhamu" diss kwa Master J.
*Mabaga Fresh - "Mtulize" diss kwa Inspekta Haroun.
*Luteni Karama - "Najitoa muhanga" diss kwa Inspekta Haroun.
*Mchizi Moxie,Jafarai,Kelvin & Mac 2b - "Nipende nichukie" diss kwa P funk.
*Kikosi cha mizinga - "Beef" diss kwa walamba lips.
*Mexcana Lacavela - "F**k Lunduno" diss kwa Lunduno(Nikki mbishi,Stereo)
*Nikki mbishi - "Ney wa mitego" diss kwa ney wamitego.
*Nikki mbishi - "where's my crown at" diss kwa wakazi.
*Nash Mc - "Kaka Suma" diss kwa serikali esp SUMATRA.
*Nash Mc - "Zima" diss kwa media za bongo chanzo ni mtangazaji Sam Misago.
*Nash Mc - "Nash Qaida" diss kwa Prof J.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alikuwa anaitwa Kivuli wimbo Bifu na Jakaya....Best diss song off all time
Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa. (Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"

Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.

Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.

"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."


Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa. (Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"

Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.

Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.

"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."


Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikianza anasema "Hii ya wakubwa hii ya baba yenu"
Amemdis mpaka le prezdaa awamu Iliyopita.
Ametukana sana wasanii kwenye hiyo diss track

Distributed Denial-of-Service
 
Aiwezi kuwa dis ya wakati wote, flow mbovu, mistari mibovu kama underground, mitusi mengi , Akuna vina, mwisho wame copy kwenye me and my girlfriend ya tupac, " nigger dei nigger dei , nigger mmmh mhmh paah paah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom