Garfield
Senior Member
- Jan 13, 2020
- 109
- 370
Ni ya siku nyingi mno
Hivi hiyo ya madee ilikuaga diss kwa nani vile?
- Wanyee_ Baba Levo
- Hop hop haiuzi _ Madee
- Harmo Rapa _ S kide
- Dada Neema _ S kide to Ney
- Wamepanda wameshuka _ Ney
- True Boya _ Young killer
- Babu talent _ Nick mbishi
kuna ngoma washkaji wame record south ya kumdiss p funk majani iliwekwa humu jf ile sio poa , inaanza wanasema
“p funk majani k*mamako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fundi Chuma wa Moro!Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa.(Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"
Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.
Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.
"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."
Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nilikua nakuja hapa lakini umeniwahiRado - usiulize
Ingekuwa mbele ningetaja ya RICK ROSS - IDOLS BECOME RIVALS, DISS KWA BIRDMAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Halafu mi naitwa Young Killer msodoki siyo young killer mfodhoki"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa mbele ningetaja ya RICK ROSS - IDOLS BECOME RIVALS, DISS KWA BIRDMAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa.(Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"
Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.
Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.
"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."
Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikianza anasema "Hii ya wakubwa hii ya baba yenu"Kuna track moja ilikuwa famous around 2010 mpaka 2014 hapo.. jamaa alikwenda kwa jina la Mr. Kufa.(Nadhani kwasababu mwanzo wa ngoma anasema "nataka kufaa.. njooni mniuue!!"
Ana diss na kutukana almost kila kitu..kila mtu.. kasoro afande sele. (Kuna kipande kwenye traxk anasema "nnae mkubali Afande sele tu"
Beat simple alaf mshkaji anaflow kama free style.
Nakumbuka baadhi ya mashairi yake.
"Zain..Zantell..Tiggo..Vodda.. yote hii ni mitandao ya mash*ga,
Terehe 2 mwaka alf mbili..dunia nzima wote hamna akili..
Mshenga wangu john Cena namuona kala pina.."
Kwenye hook anasema "Tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uwoga"
Sent using Jamii Forums mobile app














hahahaa

Fundi Chuma wa Moro!