Angalia nilichoandika sifa na ubora wa P mwanzo kabisa na pia sijaanza kumsikia juzi bali nimesikiliza P tangu akiwa na Nash,kabla hata hajaingizwa tamaduni.Wew km hummjui P The Mcee n bora ukavunga tu.
Ngoma kali ijibiwe, hakuna kutafuta visingizio et sjui jamaa hafahamiki. Uo n usolo
Futi 6 n goma banaa
Hicho unachosema ni ushabiki na chuki dhidi ya Mbishi tu na kutaka kulazimisha ajibu wakati ni maamuzi yake.
huwez amini hio nyimbo ya USIULIZE nilikua naipenda sn na sikujua km ni DISS TRACK nimejulia humuhumu JF, na mie si mpenzi wa Hiphop, but naipenda hio nyimbo kuanzia beat mpk Lyrics.