Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

Wew km hummjui P The Mcee n bora ukavunga tu.

Ngoma kali ijibiwe, hakuna kutafuta visingizio et sjui jamaa hafahamiki. Uo n usolo

Futi 6 n goma banaa
Angalia nilichoandika sifa na ubora wa P mwanzo kabisa na pia sijaanza kumsikia juzi bali nimesikiliza P tangu akiwa na Nash,kabla hata hajaingizwa tamaduni.

Hicho unachosema ni ushabiki na chuki dhidi ya Mbishi tu na kutaka kulazimisha ajibu wakati ni maamuzi yake.
 
Kumbe mambo ndo yalikua hivo huwez amini hio nyimbo ya USIULIZE nilikua naipenda sn na sikujua km ni DISS TRACK nimejulia humuhumu JF, na mie si mpenzi wa Hiphop, but naipenda hio nyimbo kuanzia beat mpk Lyrics.
Kaisikilize kwa makini kuna visauti vya chini kwenye kiitikio vinasema umemiskika FID
 
Nikki mbishi kashindwa kuijibu futi 6. Aisee ajitahidi apige chafya otherwise tutamfukia mazima
Mzee baba kuna dis nyingine huwa zinakuwa kali kupitiliza hadi aliye dis wa anaogopa kuijibu,mimi naona nick mbishi kukaa kimya bila kumjibu p mawenge amefanya jambo la maana

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Kumekucha, huko insta Weusi wamechafua hali ya hewa
Joh anakwambia "single haijaisha insta unataka ku tease (futi).. Na kwa hii mikono kujeni msululu.. Watamaduni si ndio tunaitunza hii culture"

Kwenu Tamaduni music tunangoja mrejesho
 
Back
Top Bottom