Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,519
- 86,072
Yaaani kila nikipita Tabora kuna zile taa za barabarani hazipo (zimeibwa/zimeondolewa) ila hio sio tatizo. Tatizo ni kwa namna gani mamlaka husika wanashindwa kuzirejesha Kwa kipindi cha muda mrefu hivi??
Nimejiuliza maswali mengi Sana kila nikipita hapa, hizi ni Kodi zetu sote; inakuaje mamlaka zote hazioni hili kama tatizo?
Kuna mbunge, Diwani, DC, RC, na wengine wengi, tena wote WA CCM...... Hili nalo Hadi CHADEMA tuseme??
Huu umbali sio WA kitoto, sio chini ya taa mia tatu hazipo na wote mpo kimya. This is unfair. Hebu toeni maelezo ili Tusilaumu.
Nimejiuliza maswali mengi Sana kila nikipita hapa, hizi ni Kodi zetu sote; inakuaje mamlaka zote hazioni hili kama tatizo?
Kuna mbunge, Diwani, DC, RC, na wengine wengi, tena wote WA CCM...... Hili nalo Hadi CHADEMA tuseme??
Huu umbali sio WA kitoto, sio chini ya taa mia tatu hazipo na wote mpo kimya. This is unfair. Hebu toeni maelezo ili Tusilaumu.