Baba wa mbingu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 496
- 1,184
wakati tupo kidato cha 3 walikuja ajira mpya walimu wawili wakike pale shule asee zilikuwa na pisi zilizonyooka mno, Sasa katika story zetu kama wanafunzi si nikawaambia wana kuwa lazima madam (nancy nickname) nimle kabla sijamaliza.
Si kuna snich akaenda akachoma asee nliitwa staff afu yule best yake madam nancy akasema haya kidume anza kututongoza we si unawatambia wenzake lazima ulale na sisi? (huyu madam alikuwa mnoko na anakiherehere kuliko mlengwa)
Wakuu ile staff nliiona kubwa mno yaan nliomba wanchape yaishe, maana yule madam alkua anaongea shombo sana mixer kujibenunua mbele pale nipo nae then walimu wote wapo wanaangalia kama wapo chumba cha sanaa ya maigizo ukijulmsha Ma mdogo nae alikuwa ni jopo la walimu basi ilikuwa ni fedheha sana moyoni mwangu. Though adhabu ilipitishwa ila lengo pia lilitiki apo bdae.
Si kuna snich akaenda akachoma asee nliitwa staff afu yule best yake madam nancy akasema haya kidume anza kututongoza we si unawatambia wenzake lazima ulale na sisi? (huyu madam alikuwa mnoko na anakiherehere kuliko mlengwa)
Wakuu ile staff nliiona kubwa mno yaan nliomba wanchape yaishe, maana yule madam alkua anaongea shombo sana mixer kujibenunua mbele pale nipo nae then walimu wote wapo wanaangalia kama wapo chumba cha sanaa ya maigizo ukijulmsha Ma mdogo nae alikuwa ni jopo la walimu basi ilikuwa ni fedheha sana moyoni mwangu. Though adhabu ilipitishwa ila lengo pia lilitiki apo bdae.