Tatizo ni yule rais kivuri hakuwahi kuyapenda mapinduzi makubwa yaliyofanyika katika awamu ya tano na sasa series inaendelea baada ya mwenye miradi kuondoshwa kinachofuata ni miradi yake kufa kifo cha aibu
Wame copy na kupest maendeleo yake leo hii wanaketi na kujipongeza aibu zaidi ni pale wanapo jisahau kuwa muosha huoshwa
Hitaji letu nchi ijengwe kwa usawa Kama kweli mwendazake aliipendelea chato tungeiona miradi makubwa yote ikiwa chato
Wame copy na kupest maendeleo yake leo hii wanaketi na kujipongeza aibu zaidi ni pale wanapo jisahau kuwa muosha huoshwa
Hitaji letu nchi ijengwe kwa usawa Kama kweli mwendazake aliipendelea chato tungeiona miradi makubwa yote ikiwa chato