igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,590
- 3,346
Ndiyo matokeo ya kutofuata mfumo wa bajeti wa kupitia bungeni...Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli?