Dk. Kalemani: Serikali imetoa mabilioni kujenga maktaba kubwa kabisa ya hadhi ya Kanda ya Afrika Mashariki Chato

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,684
Kama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.

Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki

Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
 
baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki

Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
Kazi kweli kweli...
 
guilt trip inawasumbua, amani hawana miyoyoni mwao lkn 2o25 tuna raisi mpya imeshaamuliwa hivyo na wakuu wa Dunia na hakuna kitu watafanya kuzuia …
 
Chato kuna vyuo vikuu vingapi?!! Ile ya Dar imezungukwa na vyuo lukuki na shule z secondary mamia!!

Chato kuna chuo kikuu gani?!!

Huu ni upumbavu mwingine wa CCM na watawala wake!!
 
Kama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.

Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki

Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
Badara aombe Chuo kikuu anaomba library
Duh
 
Dar yenyewe wasomaji hakuna

Ova
Tanzania utamaduni wa kusoma umekufa kabisa. Hii ni kwa sababu ya mfumo wa elimu yetu mbovu watu wanakariri ili kujibu maswali siyo kusoma na kuelewa. Kiingereza chenyewe ambacho ndiyo lugha yenye vitabu vingi vya maana hata wana chuo kikuu hawakielewi. Labda waweke maandiko ya Shigongo ambayo mtu akisoma yanamaliza akili kichwani.
 
Kama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.

Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki

Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
yaani mimi niende chato nikasome vitabu kwenye maktaba? masiara haya. na ile airport vipi, kuna ndege zinadondoka? maisha ni funzo. watanzania tusije kurudia makosa kuchagua haya majamaa yanayotembea na katambuga maporini, akili zao wanazijua wenyewe na ng'ombe zao.
 
CAG kahesabu Chato wananchi wanaojua kusoma kabla mapesa ya walala hoi hayajajenga ilo li white elephant
 
Chato nitapelekea Bandari , Makao makuu ya Jeshi, na Pia uwanjani mkubwa wa mpira kama ule wa Mkapa

Magufuli ni mwanachato alieipa hadhi chato

Nikiwa Rais nitahamishia Bunge Mkoa wa Chato
 
Back
Top Bottom