Mliambiwa mapema kuwa Chato haikuwa na sifa ya kukidhi miradi iliyopelekwa huko na haiwezi kuleta tija kwa nchi.Tunalipa concequences.Tangu mtu wa kazi rais wa awamu ya tano magufuli afariki miradi ya jimbo /wilaya imesimama jambo lililomkera naibu waziri wa ardhi Ms Mabura
Ukipita chato utashangaa licha ya kuwepo na mipango wa kuifanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Geita kila jambo limesimama vyuo,mbuga,uwanja wa ndege, hospital kubwa ya kikanda hadi uwanja wa mpira umekufa
Wananchi wa chato wanaamini tukio la magufuli kusimamisha ujenzi wa bandari ya bagamoyo baada ya kuingia madarakani anajibiwa na yeye akiwa amekufa,
USSRView attachment 1938304