nhc

  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Kuna UFISADI NHC ila takukuru siwaamini kuwapa taarifa

    Kwa sasa naona kila mtu anajichukulia chake mapema before 2030. Takukuru kama mngekuwa na matokeo chanya kwenye kazi zenu ningewaamini na kuwapa taarifa juu ya kinachoendelea huko shirika la Nyumba la taifa (NHC). Kwa sasa limekuwa siyo shirika la nyumba la taifa bali ni ni shirika la nyumba...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mpina: Serikali haiwezi kuaminika tena, imesaini mikataba ya siri ya Bandari, NHC, Ngorongoro, TFS, Makaa ya Mawe bila kibali cha Bunge

    Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akizungumza na Wanahabari leo Juni 23, 2026 wakati wa kuchambua Bajeti ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/27.
  3. James Hadley Chase

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea Karikaoo, mbona majengo mengi ya shirika la nyumba za taifa (NHC) yanavunjwa kwa kasi?

    Nini kinachoendelea maana kila kukicha majengo yanavunjwa kwa kasi ya 5G? Je serikali imeyauza majengo hayo? Mana mwanzoni nilijua labda serikali inataka kujenga miradi ya kueleweka
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Shekilango NHC Maghorofani tunalipa hela ya taka lakini hali ilivyo inatisha

    Mimi ni mkazi wa Shekilango NHC maghorofani. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa sasa. Tumekuwa tukilipa fedha za usafi kila mwezi kama inavyotakiwa, lakini cha kushangaza, huduma ya ukusanyaji taka haipo kabisa. Taka zimekuwa zikizagaa hapa kwa takribani mwezi mzima sasa. Harufu ni kali...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DAWASA: Huduma ya Maji imerejea maeneo ya Shekilango NHC na Ubungo

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema huduma ya maji katika maeneo ya Shekilango NHC na Ubungo Magufuli Hosteli imeanza kuimarika na huduma kuwafikia Wananchi. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa DAWASA, Everlasting Lyaro amesema wamehakikisha upatikanaji wa...
  6. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Tarehe 2 Septemba 2022, aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu alisema yafuatayo wakati akiwakilisha mipango waliyonayo NHC kwa wadau wa Sekta ya Milki Nchini ambapo SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema hivi karibuni linatarajia kuanza ujenzi wa 'nyumba za...
  7. Kapepo

    JamiiForums Tanzania NHC Kijichi hizi bei

    Habari wakuu wa jukwaa, Naomba msaada wenu. Ningependa kufahamu ni vigezo gani vinavyotumika kupanga bei ya nyumba hizi. Je, bei huamuliwa kwa kuzingatia mambo kama eneo ilipo nyumba, ukubwa wa jengo, ubora wa ujenzi, huduma zilizopo, miundombinu, au kuna vigezo vingine muhimu vinavyotumika...
  8. presider

    JamiiForums Tanzania Generator Spare parts

    Tunauza Generator Spare parts kwa upande wa Engine, Ac alternator(Kinu) and Automation( Automatic Mode). Kuna plc za Deepsea zpo mpya na Used(Refurb). Model 7320 MKI, 7320MKII, 7420MKII, 8610MKII. Pia kuna AVR ( Automatic Voltage Regulator). Lastly tuna fanya Pm ( Preventive Maintenance) and...
  9. Bosspraise

    JamiiForums Tanzania House for sale ubungo NHC

    Nyumba nzuri ya kisasa Ipo nyumba ya ubungo plaza ubungo mtaa wa Lego NHC Ipo ndani ya geti na nafasi kubwa ya parking Nyuma na mbele Ina vyumba Viwili kimoja master bedroom Sebule kubwa Jiko Choo cha public Ac master bedroom na sebule Mfumo wa maji taka umeunganishwa baharini...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Namtafuta rafiki yangu 'Rehema Abdallah Moris' alikuwa anaishi ghorofa za shekilango (NHC),Dar es Salaam.

    Habari waungwana! Namtafuta rafiki yangu kipenzi Rehema Abdallah Moris mara ya mwisho kuwasiliana nae ni mwaka 2011 kama sijasahu. Tulikuwa na urafiki wa karibu sana mara nyingi nilikuwa namtembelea shekilango tunapiga stori zetu ubungu plaza hotel,stand shekliango au kwenye migahawa ya maeneo...
  11. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tunaomba Haki: Wapangaji wa NHC Kiwanja Na. 8/II, Uhuru, Iringa

    Ndugu Watanzania wenzangu, Kwa moyo mzito, tunaleta kwenu kilio cha wapangaji wa muda mrefu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) walioko katika Kiwanja Na. 8/II, Uhuru, Iringa. Baada ya kuishi kwa zaidi ya miaka 50 katika nyumba hizi, tumepewa notisi ya siku 90 kuanzia Machi 1, 2025, tukitakiwa...
  12. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Shirika la nyumba NHC kudhamini kongamano la kisiasa la kichawa la 'Nasimama na Mama' ni sawa?

    Wakuu, Taasisi ya Mwanamke na Uongozi kwa kushirikiana na wadau wengine akiwemo NHC wafanya kongamano la 'Nasimama na Mama' mgeni rasmi akiwa ni mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani, kama sehemu ya kusherekea siku ya mama duniani na kumuunga mkono Rais Samia. Hii imekaaje wakuu...
  13. Consultant_Silwano

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA KUPATA NYUMBA YA KUPANGA ZA NHC DAR ES SALAAM

    Habari wanajamii forum, Naomba msaada wa kusaidiwa kupata nyumba ya kupanga za NHC Dar es salaam eneo laweza kuwa Ubungo Shekilango au eneo lolote ambalo litanirahishia kufika hospitali ya muhimbili kwa urahisi kwani kwa sasa nauguza Mgonjwa ambaye anilazimu kumpeleka kwenye session muhimbili...
  14. Consultant_Silwano

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA KUPATA NYUMBA YA KUPANGA NHC DAR ES SALAAM

    Habari wanajamii forum, Naomba msaada wa kusaidiwa kupata nyumba ya kupanga za NHC Dar es salaam eneo laweza kuwa Ubungo Shekilango au eneo lolote ambalo litanirahishia kufika hospitali ya muhimbili kwa urahisi kwani kwa sasa nauguza Mgonjwa ambaye anilazimu kumpeleka kwenye session muhimbili...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Anguko la kiwanda cha urafiki textile mill mpaka kuuzwa kwa nhc kwa tzs 3 billion

    Kampuni ya Tanzania-China Friendship Textile Company Limited (FTC), inayojulikana zaidi kama Urafiki Textile Company Ltd., ilikuwa miongoni mwa viwanda vikubwa vya nguo nchini Tanzania, iliyoanzishwa mwaka 1968 kwa msaada wa Serikali ya China chini ya mpango wao wa msaada wa kiufundi...
  16. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa SMZ watembelea miradi mitatu ya kimkakati ya NHC jijini Dar es Salaam

    Ujumbe kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Shirika la Nyumba la Zanzibar (ZHC) umetembelea miradi mitatu ya kimkakati inayotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC. Ziara hiyo iliyoratibiwa na Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imefanyika leo tarehe 17 Disemba 2024...
  17. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Nimeridhishwa na ujenzi wa jengo la Wizara; mhandisi Sanga

    Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga ameridhishwa na ujenzi wa jengo la Wizara hiyo linalojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Mhandisi Sanga amesema hayo Desemba 11, 2024 ambapo ameungana na Wajumbe...
  18. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania NHC Yapata Tuzo ya Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Mashirika ya Umma

    Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeendelea kuonyesha ubora wake katika usimamizi wa fedha baada ya kutunukiwa tuzo ya mshindi wa tatu wa Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Mashirika ya Umma kwa kufuata viwango vya kimataifa vya uandaaji wa hesabu (International Financial Reporting Standards - IFRS)...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya upatikanaji wa maji eneo ya Iyumbu NHC na rushwa kwa ajili ya kupata maji DUWASA

    Eneo la Iyumbu NHC Dodoma limekuwa na tatizo sugu la maji kwa zaidi ya mwaka sasa, mwanzo sababu mbalimbali zilikuwa zikitolewa ikiwamo kutumia kisima kimoja cha maji na chuo cha UDOM hivyo kutokidhi mahitaji, lakini pia udogo na wakati mwingine kuharibika kwa pampu za kusukuma maji hivyo kaya...
Back
Top Bottom