NHC yatelekeza miradi ya mabilioni wilayani Chato

Tatizo ni yule rais kivuri hakuwahi kuyapenda mapinduzi makubwa yaliyofanyika katika awamu ya tano na sasa series inaendelea baada ya mwenye miradi kuondoshwa kinachofuata ni miradi yake kufa kifo cha aibu

Wame copy na kupest maendeleo yake leo hii wanaketi na kujipongeza aibu zaidi ni pale wanapo jisahau kuwa muosha huoshwa

Hitaji letu nchi ijengwe kwa usawa Kama kweli mwendazake aliipendelea chato tungeiona miradi makubwa yote ikiwa chato
 
NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Tuliwambie Mtupe yufugie Mbuzi
 
Tangu mtu wa kazi rais wa awamu ya tano magufuli afariki miradi ya jimbo /wilaya imesimama jambo lililomkera naibu waziri wa ardhi Ms Mabura

Ukipita chato utashangaa licha ya kuwepo na mipango wa kuifanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Geita kila jambo limesimama vyuo,mbuga,uwanja wa ndege, hospital kubwa ya kikanda hadi uwanja wa mpira umekufa

Wananchi wa chato wanaamini tukio la magufuli kusimamisha ujenzi wa bandari ya bagamoyo baada ya kuingia madarakani anajibiwa na yeye akiwa amekufa,




USSRView attachment 1938304
Watuache sisi wasukuma tufugie mangombe yetu

miradi isiyo na kichwa wala miguu tupa kule.
 
Pesa ya maendeleo ya nchi kodi na mikopo zote kwa miaka mitano imeeharibiwa Chato mapolini, nchi imesimama kiuchumi na imekua masikini, na uchumi umeshuka kutoka 7% mpaka 2%
Walaaniwe MaCCM wote..!
Alaaniwe Mwendawazimu wa Chato.!
Siku ya kuzima mwenge itafanyika Chato ,tutawaanika mbele ya mama yenu ili mtumbuliwe.
 
NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Magufuli aliua NHC mwenyewe ili ahamishie fedha kwenye miradi aliyopenda yeye na hasa chato na kanda ya ziwa, sasa mabula analia nini?
 
Mnaolipa kodi na matozo ni maboya sana kwa jinsi hela ya nchi inavyotapanywa.

Siku mkiweza ku link jasho lenu na hizi hela mtalia sana.

Wengi wenu mkiibiwa hata 500/= katika daladala mnawaka, mnaweza hata kumchoma moto mwizi, sasa fikiria maelfu ya pesa zako zinazochukuliwa kila siku na kwenda kufujwa.
 
Japo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa
Nani hakuwa na Upendeleo? Alisema wazi majimbo ya upinzani hapeleki maendeleo.Huo ndo upendeleo
 
Japo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa
Na kule kaskazini watulie Kwanza. Mwendazake alifanya Nini zaidi ya kuvuruga maisha ya watu?

Tuogope machozi ya wenzetu yanapomwagika. Mungu hakupendezwa na huo utawala.

Tukipima Kati ya Lissa na mwendazake Nani alistahili kuishi? Kwa Nini mungu kaamua Kama yalivyotimia katika ukurasa alioandaa yeye mwenyewe? Mfano tunao kwenye biblia mungu anapokea malalamiko ya wanna wa Izrael.
 
Duniani hapa hakuna Jambo jipya...watu walipiga kelele hapa na mifano na picha wakatoa kuhusu magofu ya Mobutu Congo...Sasa chato kila siku unasikia majengo ,viwanja etc vinabaki magofu..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Huyu mama aacha upumbavu hiyo miradi haina tija huko ilipelekwa kimaslahi...anafikiria meko aliempa uwaziri kwa kusoma shule moja bado yupo
 
Kama hiyo miradi ilishaanza ni vyema ikamilishwe tu, serikali ijitahidi kutafuta fedha, kuliko kuacha pesa iliyokwisha tumika ipotee bure, bora miradi ikamilishwe.

Hili linaweza kuwa fundisho huko tuendako, Rais wa nchi asiwe kila kitu, pawepo mamlaka ya kufuatilia na kuagiza nini kifanyike na kipi kisifanyike kwa manufaa ya taifa.
Wakuimalizia sasa ndio hawapo, NHC wanaona ni kisai gani watapoteza pesa kukamilisha hiyo miradi, bora nusu shari kuliko shari kamili, hizo hela zilizopotea watafanya kama zimetumbukia chooni bahati mbaya, n sio hiyo tu, kuna lisoko lilijengwa sehemu moja huko kusini bila kuwashirikisha wananchi kujua mahitaji yaom hasa ni nini, miaka zaidi ya minne sasa tangu limekamilika halijaanza kufanya kazi
 
Alafu kura utaenda kuomba wapi?

Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?

Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?

Subiri moto utawaka
Hilo nalijua. Wametengeneza bomu la Kalemani, Msukuma, Bashiru na wengineo. Bado hujajumuisha hasira za uchaguzi uliopita. Nakubaliana kanda ya ziwa patachimbika
 
Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli?
Acha wawatenge wanafikiri chato siyo wapiga kura,mbona Msoga kila kukicha miradi mipya.
 
NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom