Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Asanteni sana Tized na christine ibrahim kwa mifano hai yenye mafunzo mazuri,na poleni kwa yote mliyoyapitia,pamoja na yote Utukufu kwa Mungu aliyeweza watetea na kuwasimamisha na mpaka leo tunajifunza kitu kupitia ninyi. Mbarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Ebana point ya msingi ni msamaha ila hii kali mtu yupo kitaa hana experience halafu anapata ukurugenzi hii ni noma...sound zingine ni noma aisee...
 
Hongera sana.. Mungu kakuinua ili uwe mfano na uiponye familia yako. Usiipoteze hio nafasi yako.
Mungu hutumia vinavyoonekana vinyonge kuviabisha vinavyoonekana vina nguvu. Hongera sana, Kumbuka Endelea KUUSHINDA UBAYA KWA WEMA na utazidi kubarikiwa. Kumbuka kadiri unavyofanyika msaada kwa wengine, Mungu ataendelea kukufungulia mianya na fursa mbali mbali ili kupitia wewe Yeye akajitwalie utukufu zaidi.

Wakati mwingine ni spirits zinawavaa hawa wandugu... ukimhukumu yeye ni kumuonea pasipo kujua (uchukie uovu lakini mpende muovu ili akabadilike kwa upendo wako).... Siku zote ukitaka kubaki salama BAKI KWENYE NDOA YAKO.

Na kuelewa sn my dia

Mimi mama angu ni mke wa ndoa lkn amelea watt zaidi ya 6 wa nje ya ndoa! !!!unaelewa hapa!?Manaake mi mwenyewe cwez! !
Tena anakwambia watt hawana kosa hawakuomba kuzaliwa....haya huo upandae 1
Njoo kwetu cc tuliozaliwa ndani ya ndoa, unaweza sema bora ambao wamelelewa na single mom!
Tulipata shida na mama etu pia utafikiri sisi ndo tumezaliwa nje ya ndoa.
Baba angu alikuwa anatamka kuwa hao wa nje ndo watamlea na ndo wana akili na upendo!
Leo hii huruma tu!
U can imagine tulikuwa tunamchukuaje baba angu (sisi tupo 4)kwa mama angu.
Ilifika kipindi tulitaka kumhamisha.mama tumuache baba na watt wake!
Lkn tukaambiwa tutafuta laana kwa kuwatenganisha!

Mengine cwez sema bt imagine una baba msomi ana hela bt my mom hakuwa tofauti na single mom manaake amehangaika peke yake thanks God ana kazi yake kutusomesha baba yupo busy na watt wa michepuko na hapa mimi ndo nilisema ndoa ni ushenz!

Lkn baadae nikagundua sio yy ni wa.kumsamehe tu....
Baada ya mi kunza.masters na.anayenifuatia Namshukuru Mungu baada ya kuwa vzr ndo akaanza kuona cc wa.maana....na mi km 1st born Imebidi nisimame coz unakuta sio vitu vya kawaida
 
Ebana point ya msingi ni msamaha ila hii kali mtu yupo kitaa hana experience halafu anapata ukurugenzi hii ni noma...sound zingine ni noma aisee...

Mungu akikupa kibali hakuna lililo gumu,kama wewe ni mkristo rejea hadithi ya Yusufu na Daudi.
 
Yaani NANDERA nilikuwa sijamuwaza lakini baada ya hii thread ndio nimekumbuka haya .Ukiangalia waliyopitia wengine mimi najionaga nna neema sana ndiyo maana hata siyawazi hayo

Nakuelewa sana bibie. Hata mimi sikuwahi kumpa uzito, wala sina mpango wa kumfata ingawa najua aliko, ila kinyongo/hasira juu yake imeisha. Mambo ya kutetemeka kwa hasira nikiona simu yake au mtu akiniuliza kuhusu yeye yamenitoka. Ningeweza kupata kiharusi buree. Hata yeye akinipigia simu huwa hasemi chochote zaidi ya salamu. Naamini hata kwa hilo anashukuru. Baada ya kumsamehe ndo nilipata hata muda wa kutafakari nikagundua ni afadhali sana alivyojimuvuzisha maana sijui ningekuwa Nandera wa aina gani mimi. Ni hakika kuwa nisingekuwa bora zaidi ya nilivyo sasa. Huwa siishi kumshukuru Mungu kwa kunipitisha kwenye mikono ya babu, bibi na mama yangu. Hata katika mahangaiko yao ya kunifanya niwe mtu katika watu nimejifunza sana. Badala ya kuangalia mahangaiko yao kama sababu ya kumlaumu baba, mimi nayaangalia kama fursa pekee iliyonifundisha maana halisi ya upendo, maana ya kujitoa kwa ajili ya mtu mwingine na vingine vingi sana. Vipo vichache nilivyovikosa kwa kuondoka kwake lakini ni minor sana. Havilingani na neema niliyopata. Kwa hiyo naamini ilikuwa aondoke ili mimi niwe kile Mungu alichotaka niwe.

Mjomba wangu mmoja alifariki nikasikitika sana. kabla ya kifo alikuwa na watoto wake 4 na mke. Walikuwa hawana maelewano, hawana muda na watoto, watoto wanazurura hovyo tu, mara watoro shuleni, mara wadokozi. Hakuna mtu aliyekuwa anaingilia kati kwa sababu wazazi wao walikuwepo. Alivyokufa yule mjomba ndugu wakagawana watoto kuwatunza. Sasa hivi wale watoto wako mbali sana, wamekuwa raia wema wa kutegemewa. Baba yao angekuwepo wangekuwa mateja na wezi. Huwa nikiwaangalia sisikitiki kufa kwa baba yao. Huwa nasema Mungu alimuondoa ili wale watoto wapone. Kwa hiyo si kila jambo baya ila lengo baya.
 
Wonderful and interesting story
like, like, like, ....,....,....,....,..................
 
everlenk haya mambo ni mazito sana na sometimes ni yakuacha tu moyo wa mtu uamue.
Nina hasira na machungu juu bora huyo ambaye mkosaji wake kalitambua kosa na kukiri.

mmmmh! jaribu kushare na watu. unaweza ukapata relief kidogo. sio wote tuna uwezo wa kusamehe waliotukosea ila kama huwez kusamehe puuzia tu.
 
Last edited by a moderator:
Wala sijitesi mkuu......ni uamuzi tu. Vile tu hujaujua uzito wa jambo pamoja na wahusika wenyewe as to till now bado wanafanya nini... .ila si rahisi kama unavyofikiria.

Mbona unajitesa namna hiyo? Umekua katili dhidi yako mwenyewe, hivi unawajua ambao umewakosea na wamekusamehe? Je unadhani unastahili msamaha kutoka kwa wale ulio wakosea? Je unadhani wanao kusamehe kila unapo kosea wajinga? Au labda hujawahi kukosea maisha yako yote? Je huyo aliye kukosea wewe ni wa kwanza kukosea au kukutendea kosa hilo wewe hapa duniani? Kwa nini unahofu moyoni? Unadhani yeye alie tuamuru tuwasamehe wanaotukosea ni mjinga? Mpaka sasa Mungu amekusamehe makosa Mengi sana na hata hili amekusamehe je unadhani unastahili? Kama unastahili basi na alie kukosea anastahili kusamehewa. Tafadhali achaukatili dhidi yako mwenyewe na uishi kwa amani na fanya yote uliyoagizwa na Mungu nae atakubariki usipotoa msamaha kwa waliokukosea ni saw a na kukataa maagizo ya Mungu na hivyo umemkataa pia. Maana huwezi sema unampenda Mungu wakati unayakataa maguzo yake labda kama wewe ni muabudu shetani.
 
mmmmh! jaribu kushare na watu. unaweza ukapata relief kidogo. sio wote tuna uwezo wa kusamehe waliotukosea ila kama huwez kusamehe puuzia tu.

Naanzaje sasa kuwapuuzia?
Kwa huu uchungu nilionao?
Hili somo gumu kwangu!

Anyways.....si vyote vya kushare on public.
 
Kikwete_Head.jpg


Allow me to leave with you some few questions to ponder as you prepare for the first TNBC meeting and IRT meetings. I am doing this to stimulate a healthy discussion during those meetings hoping that at the end of such a discussion, you will come up with solutions to the challenges:

1. Tanzania is renowned for abundance of natural resources - such as arable land, mineral deposits, and natural attractions - that are mostly under- utilised. There are also opportunities in infrastructure, utilities, transit trade, and aviation. It is a fact that very few African countries can claim to supersede Tanzania on this score.

However, we need a fresh look at what is it that impedes speedy exploitation of these resources and opportunities to the benefit of the country. We know that full utilisation of these resources would enable Tanzania achieve higher growth rate which we need badly for eradicating income poverty and overcome underdevelopment? What can business do to deliver on this front tangibly and in a sustained manner?

2. Few countries in Africa can claim to enjoy the kind of political stability that Tanzania has. The issue at hand is how can we, together, make use of our political stability as a resource and foundation for growth and poverty eradication?

3. The benefits of the correct economic and fiscal policies that have been applauded by many are yet to reach the ordinary Tanzanian. We have in place the right macro-economic fundamentals for promoting growth, investments and trade.

The challenge before us is how to speedily and consistently send the gains to the micro-economic level and to rural Tanzania. Failure to do that, the macroeconomic gains will remain meaningless and illusive to the majority of Tanzanians. How do we, together, you and us, ensure that gains reach the micro-economic level?

4. Tanzania is widely acknowledged as having one of the most favorable investment incentives regimes worldwide. Transfer of capital and profits is allowed, and currency is freely convertible. Repatriation of profits, dividends, royalties, and such other payments are freely allowed. Investments are protected against arbitrary nationalization and expropriation. A commercial court has been established, and international arbitration is provided for.

Inspite of all these achievements, we are yet to witness a commensurate flow of investments. Can we know why? And, more importantly, what else needs to be done for us to witness an investment flow deserving a country like ours? Can you also suggest a regime of incentives to revolutionize the agricultural sector and ensure empowerment.

5. While the Tanzania Investment Centre has now been strengthened to be a truly one-stop centre, assisting investors in all issues, are we confident that ample assistance is given to locals and in establishment of indigenous enterprises? What can Corporate contribute in this front?

6. The other important matter that is more or less related to the previous one is that of creating a sizeable Tanzania middle class. Is it there? Not really! You will agree with me that the existence of a large middle class is critical for business and growth. How do we create it? What can the corporate sector and government do? We have to have answers to this pertinent question.

7. Tanzania qualifies for preferential trade access to the European market, under the EBA - “Everything But Arms” - arrangement provided unilaterally by EU to ACP countries. Tanzania has access to similar facilities for the US market, through AGOA, as well as Japan, China and Canada through more or less similar arrangements.

So far, we have not utilized these facilities as some of our neighbors have been. The questions are why not and what do we do? We need to have answers quickly because these are very important facilities in propelling faster economic growth and development. Besides, these facilities are not there forever, they have a limited life span. We better utilize these opportunities before doors close. How do we catch up?

8. Finally, Tanzania is well-positioned geographically. It is a gateway to six neighboring countries, five of whom are landlocked. Tanzania enjoys a larger market within the regional economic groupings to which we belong - the East African Community and the Southern African Development Community – which together provide a market of almost 250 million people.

Given this enviable position, the challenge and the question is how is the Tanzanian Private Sector poised to take advantage of this niche and exploit the geographical location to turn Tanzania to a lead economy within the region? And, what is it that is needed in order for you and us to rise to the challenge in a sustained manner? As businesses, have you really positioned yourselves well enough to take advantage of the EAC and SADC common markets? If not, why? Let’s put our act together to benefit from these lofty opportunities.

Click here to read the Speech

Na wakifa bila kuonyesha nia ya kuomba msamaha utafanyaje? Lakini pole sana kwa yote yaliyo kukuta na kukutesa. Lakini unahitaji kua huru, unajua watu wengine huwa hawatambui makosa yao hata ukiwaambia. Lakini unahitaji kua huru Dada yangu, kumbuka wewe ni bora kuliko wao.
 
Thanks NANDERA.

Wasipokuelewa bado kutakua na shida nyingine zaidi ya hii tunayoiadress hapa. Nimejifunz mengi kutoka kwako kwenye huu uzi.

Godbless.
Nakuelewa sana bibie. Hata mimi sikuwahi kumpa uzito, wala sina mpango wa kumfata ingawa najua aliko, ila kinyongo/hasira juu yake imeisha. Mambo ya kutetemeka kwa hasira nikiona simu yake au mtu akiniuliza kuhusu yeye yamenitoka. Ningeweza kupata kiharusi buree. Hata yeye akinipigia simu huwa hasemi chochote zaidi ya salamu. Naamini hata kwa hilo anashukuru. Baada ya kumsamehe ndo nilipata hata muda wa kutafakari nikagundua ni afadhali sana alivyojimuvuzisha maana sijui ningekuwa Nandera wa aina gani mimi. Ni hakika kuwa nisingekuwa bora zaidi ya nilivyo sasa. Huwa siishi kumshukuru Mungu kwa kunipitisha kwenye mikono ya babu, bibi na mama yangu. Hata katika mahangaiko yao ya kunifanya niwe mtu katika watu nimejifunza sana. Badala ya kuangalia mahangaiko yao kama sababu ya kumlaumu baba, mimi nayaangalia kama fursa pekee iliyonifundisha maana halisi ya upendo, maana ya kujitoa kwa ajili ya mtu mwingine na vingine vingi sana. Vipo vichache nilivyovikosa kwa kuondoka kwake lakini ni minor sana. Havilingani na neema niliyopata. Kwa hiyo naamini ilikuwa aondoke ili mimi niwe kile Mungu alichotaka niwe.

Mjomba wangu mmoja alifariki nikasikitika sana. kabla ya kifo alikuwa na watoto wake 4 na mke. Walikuwa hawana maelewano, hawana muda na watoto, watoto wanazurura hovyo tu, mara watoro shuleni, mara wadokozi. Hakuna mtu aliyekuwa anaingilia kati kwa sababu wazazi wao walikuwepo. Alivyokufa yule mjomba ndugu wakagawana watoto kuwatunza. Sasa hivi wale watoto wako mbali sana, wamekuwa raia wema wa kutegemewa. Baba yao angekuwepo wangekuwa mateja na wezi. Huwa nikiwaangalia sisikitiki kufa kwa baba yao. Huwa nasema Mungu alimuondoa ili wale watoto wapone. Kwa hiyo si kila jambo baya ila lengo baya.
 
Last edited by a moderator:
Wala sijitesi mkuu......ni uamuzi tu. Vile tu hujaujua uzito wa jambo pamoja na wahusika wenyewe as to till now bado wanafanya nini... .ila si rahisi kama unavyofikiria.

Kuwasamehe mimi ni mpaka waoneshe nia otherwise hasira yangu bado i juu yao!

Mkuu hawa watu mpaka niwapitishe na wao kwenye maumivu ndo roho yangu iridhike.
Avemaria mpenzi yaani hiyo hasira na uchungu ulionao ndo mateso yenyewe,wewe waweza kuona kama hujitesi lakini unateseka sana,embu achia hili jambo tangaza msamaha,embu chukua hatua kama Tized alivyosema chagua njia yoyote ambayo utaona yafaa.

Jambo la pili muhimu kamwe kamwe usijiingize kwenye swala la kulipiza kisasi utajiingiza kwenye shida kuu na matatizo mengi,Mungu kasema kisasi ni chake na yeye ni Bwana wa vita,embu liachie jambo hili uone jinsi Mungu atakavyokupigania. Mwachie Mungu yeye ndo muhukumu wa wote.
 
Last edited by a moderator:
Nakuelewa sana bibie. Hata mimi sikuwahi kumpa uzito, wala sina mpango wa kumfata ingawa najua aliko, ila kinyongo/hasira juu yake imeisha. Mambo ya kutetemeka kwa hasira nikiona simu yake au mtu akiniuliza kuhusu yeye yamenitoka. Ningeweza kupata kiharusi buree. Hata yeye akinipigia simu huwa hasemi chochote zaidi ya salamu. Naamini hata kwa hilo anashukuru. Baada ya kumsamehe ndo nilipata hata muda wa kutafakari nikagundua ni afadhali sana alivyojimuvuzisha maana sijui ningekuwa Nandera wa aina gani mimi. Ni hakika kuwa nisingekuwa bora zaidi ya nilivyo sasa. Huwa siishi kumshukuru Mungu kwa kunipitisha kwenye mikono ya babu, bibi na mama yangu. Hata katika mahangaiko yao ya kunifanya niwe mtu katika watu nimejifunza sana. Badala ya kuangalia mahangaiko yao kama sababu ya kumlaumu baba, mimi nayaangalia kama fursa pekee iliyonifundisha maana halisi ya upendo, maana ya kujitoa kwa ajili ya mtu mwingine na vingine vingi sana. Vipo vichache nilivyovikosa kwa kuondoka kwake lakini ni minor sana. Havilingani na neema niliyopata. Kwa hiyo naamini ilikuwa aondoke ili mimi niwe kile Mungu alichotaka niwe.

Mjomba wangu mmoja alifariki nikasikitika sana. kabla ya kifo alikuwa na watoto wake 4 na mke. Walikuwa hawana maelewano, hawana muda na watoto, watoto wanazurura hovyo tu, mara watoro shuleni, mara wadokozi. Hakuna mtu aliyekuwa anaingilia kati kwa sababu wazazi wao walikuwepo. Alivyokufa yule mjomba ndugu wakagawana watoto kuwatunza. Sasa hivi wale watoto wako mbali sana, wamekuwa raia wema wa kutegemewa. Baba yao angekuwepo wangekuwa mateja na wezi. Huwa nikiwaangalia sisikitiki kufa kwa baba yao. Huwa nasema Mungu alimuondoa ili wale watoto wapone. Kwa hiyo si kila jambo baya ila lengo baya.

Asante sana NANDERA kwa mifano yako hai yenye kufundisha,hakika atukuzwe Mungu aliyekuwezesha kusimama mpaka leo hii azidi kukubariki zaid na zaid,nami naendelea kujifunza kitu hapa hakika MAJARIBU NI MTAJI.
 
Last edited by a moderator:
huo ndo mpango mzima. fanya yako, usamehe ili iweje!!!

Hapana Husninyo msamaha ni lazima,asiposamehe sana sana anazidi kukaa kwenye uchungu wenye hasira na chuki na wala hamna faida anayopata ila ipo faida katika kusamehe,siku atakayoamua kuachilia hata yeye mwenyewe nafsini mwake atajiona ni wa tofauti.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom