HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,205
everlenk
msamaha ndo kila kitu....!
nikitafakar huwa naishia kufuta machozi...! kuna nguvu kubwa sana ktk msamaha!
mimi nilibakwa na kijana ambaye familia zetu zilikuwa karibu sana..! akakimbia, wakamshaur aje aombe msamaha kifamilia, akakataa, lakn niliwambia mimi nimemsamehe mbele ya wazazi wake na wangu...!
huu ni mwaka wa kumi na mbili sasa, hana analofanya likafanikiwa, had nasikia kawa mlinzi nyumban kwa mtu ( ana degree kabisa), wazazi wake walishawah kuja na kusema nimsamee, nikawaambia nishasamehe since ni yeye tu kutubu kwa Mungu wake.
lakn mi nina maisha yangu familia yenye furaha na amani.
had mme wangu anamuonea huruma.
msamaha ndo kila kitu....!
nikitafakar huwa naishia kufuta machozi...! kuna nguvu kubwa sana ktk msamaha!
mimi nilibakwa na kijana ambaye familia zetu zilikuwa karibu sana..! akakimbia, wakamshaur aje aombe msamaha kifamilia, akakataa, lakn niliwambia mimi nimemsamehe mbele ya wazazi wake na wangu...!
huu ni mwaka wa kumi na mbili sasa, hana analofanya likafanikiwa, had nasikia kawa mlinzi nyumban kwa mtu ( ana degree kabisa), wazazi wake walishawah kuja na kusema nimsamee, nikawaambia nishasamehe since ni yeye tu kutubu kwa Mungu wake.
lakn mi nina maisha yangu familia yenye furaha na amani.
had mme wangu anamuonea huruma.
Last edited by a moderator: