Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,863
- 37,614
Honestly mimi masomo ya msamaha na yooote yahusuyo kuwapenda adui nayaaogopa coz nahisi hapo ndipo jehanam yangu ilipo so so currently nimekua sipendi hata kuyasikia. Kuna watu sidhani ka nitakuja kuwasamehe hivyo kuwachukulia kama ilivyokuwa awali......SIWAPENDI MAISHA!!!
Pole my dia
Jitahidi uwasamehe
Shetani muongo sn
Ni ngumu ila Mungu mwaminifu