Avemaria mpenzi yaani hiyo hasira na uchungu ulionao ndo mateso yenyewe,wewe waweza kuona kama hujitesi lakini unateseka sana,embu achia hili jambo tangaza msamaha,embu chukua hatua kama
Tized alivyosema chagua njia yoyote ambayo utaona yafaa.
Jambo la pili muhimu kamwe kamwe usijiingize kwenye swala la kulipiza kisasi utajiingiza kwenye shida kuu na matatizo mengi,Mungu kasema kisasi ni chake na yeye ni Bwana wa vita,embu liachie jambo hili uone jinsi Mungu atakavyokupigania. Mwachie Mungu yeye ndo muhukumu wa wote.