Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
inawezekana kabisa mungu wake alishamsamehe, nani aujuaye moyo wa mtu? halafu unafikiri watu wote wanaotelekeza watoto wanashtakiwa na dhamiri zao? Swala hapa ni kwamba kama kumchukia kwako baba yako hakuathiri ustawi wako wa kiroho wala kisaikolojia na hata kimwili, basi mwache baba asamehewe na mungu wake. ila kama unaumia na hata ukitype mikono inatoka povu kuna haja ya kuachia hiyo negative energy ikutoke. hilo faili ubongoni mwako unalolitumia kumhifadhi baba unayemchukia na nguvu unayotumia kumchukia ungetumia kufanyia mambo mengine mazuri sana. With time naamini utamwachia tu, na mimi nitakuombea moyo wako ulainike.
Hivi kila USIEMPENDA - UNAMCHUKIA? ninachojua mm nina vitu viwili tu kwake: SIJAMSAMEHE hiyo hata yeye anajua!
SINA MAPENZI nae km baba hata! Ndio CHUKI hii!
Sina uhakika km namchukia ama laah, labda, ila najishughulisha na HAMSINI zangu, alionifanyia ni darasa tosha!
Mengine hayanihusu! Hii kusamehe samehe wkt mwingine tuwe tunaweka kikomo bhana! Kila kitu samehe, samehe!
Hawa wengine waacheni wabebe misalaba yao hapa hapa tu!
Alinikataa utotoni! Na bado hajanikubali ukubwani!
Mm kutomsamehe BABA ni sehemu ya mipango ya m.mungu, anamuonyesha kuwa MKOSEFU!