STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Akitaka tuachane nitaangalia kama anaongea akiwa amepanic, au yupo normal(hajapanick sana)Ivi mfn limetokea tatizo kdg ,tatizo la kikawaida tu ktk kupishana kauli,mwanamke akakasirika na akataka muachane,how will u react na utaichukulia vp io situation
sasa baada ya hapo nitaangalia kosa nililofanya, kama nalijua hilo kosa then nitalipima na maamuzi ya kuachana.
Kama kosa silijui basi nitamuuliza aniambie wapi nilipokosea,
kama akikataa kuniambia then nitakubali tuachane,
na kama akiniambia kosa alafu nikaona halina kichwa wala miguu basi pia nitamruhusu tuachane...

good