Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi


Pole my dia
Jitahidi uwasamehe
Shetani muongo sn

Ni ngumu ila Mungu mwaminifu
 

Ndo maana unaambiwa 'njia za Mungu hazichunguziki!

'Yy hufanya njia pasipo na njia'
Na 'Akili ya mwanadamu inapofika mwisho ndipo Mungu hyanzia'.
 
Baba alinitelekeza ht primary sch sijaanza! Nimepitia magumu sn mpk kufika iaa na udsm, thanx God! Namiliki kibanda mbz, mke, watoto wwl! Na this year nimekuwa promoted to Hod. Silipi kisasi, ila nafanya yng kivyangu vyangu.
Sijamsamehe!

Hyo ni kwa.neeema!
Msamehe utaona mengi zaidi ya hayo mkuu
 
dah kweli gemmy, nadhan mm nawewe tuko kwenye same situation, mshua wangu ingawa sina bifu nae na hajawah hata kunisomesha lakin pia hana time na mm pamoja na kuwa nina masters, kazi nzuri.. so sometimes tunashindwa kuelewa unamsamehe vipi mtu ambaye haoni kama hata amekukosea?????
 
Ok thanx ubarikiwe, embu ngoja nicheck check ni nani alinikosea na nina kinyongo nae nikatangaze msamaha chaaaapu ili hizi baraka ziendelee kunimiminikia.

fanya hivyo mkuu, ma-trip ya Marekani yanaweza kukuangukia mpaka ukashangaa.
 

Tena Mungu ndo anataka hivyo
Sio lzm yy aonyeshe km anajutia ww samehe tu hivyo hivyo
Yy ss ndo atakuwa anahangaika
 
Mungu aniwezeshe kwa kweli, naitambua nguvu ya msamaha lakini nashindwa kusamehe100%, wakt mwingine sijielewi kama nimesamehe au laa!! kuna majina nikisia yanatajwa nahisi tumbo linanijata, niombeeni jamani!!

Bado hujasamehe
Ndo maana hayo majina yakitajwa juna amani
 

Hukumwelewa Mandela, au hujaelewa maana ya kusamehe. Mandela alimsamehe Winnie, akamtaliki kisha akaja mbuga za wanyama huko arusha kusikilizia maumivu halafu akarudi afrika kusini kuendelea na kazi akiwa mwepesi. akawa ameshatoka kwenye utumwa wa machungu ya kusalitiwa na kumpoteza ampendaye. na baada ya talaka waliendelea kusalimiana vizuri tu na hata winnie na graca walikuwa wakiongea vizuri. angesema hataki kumuona winnie wala kusalimiana nae, wala asihudhurie mazishi yake hapo ndo ungesema hakumsamehe. Kumsamehe mtu ni kukataa usiendelee kuumia kwa yale aliyokutenda.
 


No mkuu

Mathayo 6:14-15

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.

Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu wa mbinguni hatawasamehe ninyi.


We Msamehe tu huna haja ya kumtafuta wala nn
 
Tena Mungu ndo anataka hivyo
Sio lzm yy aonyeshe km anajutia ww samehe tu hivyo hivyo
Yy ss ndo atakuwa anahangaika

Sio rahisi kama ambavyo unadhania christina ibrahim unajua katiak age ndogo unamuona mama anavyo hangaika anakimbizana huku na huko ili wewe upate school fees mara umeumwa mama yeye ndo kila kitu unajua nikiwa na miaka kumi na mbili seriously ilibidi nimwambie mama anieleze ukweli maana kila mara alikuwa ananirusha rusha lakini baada ya kuelezwa ukweli ni ngumu kumuachilia huyo mzee
 
Last edited by a moderator:

inaelekea miaka 12 ndo muda wa watoto kuulizia baba zao. hahahahaaaaaa,,,,,,,,Mimi niliuliza nikiwa na miaka 12 lakini ni baada ya kutumwa na jirani mfyukunyuku. Vinginevyo sijui hata kama ningekaa niulize. Mi nilikuwa naona poa tu hata wazo la kuwa hakuna baba sikuwahi kuwa nalo. Sasa bibie huyo mzee wako anajua namna unavyoteseka moyoni kwa ajili ya matendo yake? Si ajabu naye huko aliko anafurahia namna alivyomkomesha mamako na "kitumbili chake". Kumwachia ni ngumu lakini ukifanikiwa kufanya kitu chochote ulichoona ni kigumu aisee unakuwa mtu wa tofauti sana.
 

Nikwambie kitu wengine tukiandika mama zetu waliypitua hapa wakati baba yupo tena ana uwezo unaweza tamani kuua mtu!

Lkn mwisho wa cku tuliamua kuachilia tu manaake kukaa na kitu moyoni ni mbaya sn presha na mengineyo yatakuhusu!

Wee Msamehe utaona atakavyohaha wala huna haja ya kumtafuta
Ww mwambie Mungu nisaidie nimtoe baba moyoni ni kweli alikosea lkn Mungu anasema tusiposamehe na yy hawez kutusamehe
 
Last edited by a moderator:
Duuuuu! Kama ndivyo kunauwezekano ukafanya kosa kama lake siku moja.

hujakosea hata kidogo. pamoja na uzuri wa kusamehe kutoka katika mrengo wa sayansi/saikolojia, kiroho pia kuna faida. Kumbuka ......nawapatiliza wana maovu ya baba zao....kizazi cha tatu hadi sijui cha 4.......nawarehemu maelfu ya wanitafutao....... Kuna uwezekano kabisa wa kijana aliyetelekezwa na babae nae kutelekeza au kutelekezewa uzao wake au watoto wake kutelekeza uzao.
 
Mkuu unachanganya mada! Rejea michango yng tng mwanzo wa uzi huu utaelewa!
Unakurupuka mkuu! Hakuna sehemu nimetaja kutaka kutembea na bint yng!

Nani anakurupuka jamaa yangu
mpaka unabeba Mada/ Thread nzima wakati si yako?
hiz dalili za kutembea na mtoto wa kumzaa halafu uombe msamaha ni za kichawi hazikubaliki abadani
Hakuna Kabila wala Taifa la hivyo eti baadaye utaomba msamaha ETI mara sabini u70
rudia Post ya
Tized Post #140 utagundua ni nani anachanganya Mada
USHAURI
KEMEA KABISA SHETANI HILO
 
Tina sio kuhusu aliyo yapitia mama yangu ni kuhusu aliyotamka na kuyatenda huyo mzee baada ya kuzaliwa lakini all in all maisha yanaenda na baraka za Kristo zinaninyeshea.unajua ambacho huwa na waza ni kuwa sina baba kwahiyo hayo mawazo yakumtafuta hell noo!
 
Yaani NANDERA nilikuwa sijamuwaza lakini baada ya hii thread ndio nimekumbuka haya .Ukiangalia waliyopitia wengine mimi najionaga nna neema sana ndiyo maana hata siyawazi hayo
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mpendwa.

Samahani dada Gemmy, UNAPOENDELEA KUMSHIKILIA UNAFAIDI CHOCHOTE? AU BAADAE UTAVUNA CHOCHOTE?
Au unafikiri unapoendelea kumshikilia yeye anateseka kwa ajili ya kutomsamehe kwako? yeye kwanza hajali maana anajua anastahili yote hayo kutoka kwako.. wewe tu ndio utakua unateseka na UCHUNGU, HASIRA, GHADHABU, na KISASI yeye walaaaa hajali na au mtu anafikiri akisamehe aliyesamehewa atafaiidi saaana.. unayesamehe binafsi ndio unajikomboa. Sasa aliyefanya kosa atesekeke na wewe tena ulietendwa utejitese na hayo mauchungu jamani... Ifike mahali ITOSHE sasa.

Usijitese dada yangu, uliokwisha kupitia yanakutosha, Muachilie, wewe endelea na maisha yako. Muheshimu tu kama unavyowaheshimu wanaume wengine. Kuna vitu vya kushikilia lakini sio KUTOSAMEHE maana ni SUMU inayokukula na kukuharibu wewe na sio yule aliekukosea.

Jitahidi mpendwa, Achilia maumivu yako, utapata faraja ya ajabu sana. Simply waweza kujifungia chumbani kwako, weka viti viwili (chako na cha Baba yako) then assume yeye kakaa kiti cha pili seriously, mwambie ukweli wake woote, mlaumu vya kutosha halafu mtangazie msamaha. ukijisikia kulia, LIA sana hadi hamu ikuishe.. nakuhakikishia ukitoka hapo wewe ni mtu mwingine.

Au umwandikie barua japo mwishowe utaichoma, Weka kila kitu ambacho ungetamani umwambie ana kwa ana, ukimaliza usome kwa kumaanisha kama anakusikia, mtangazie msamaha, then endelea tu na maisha yako kama kawaida.. Utakua umejisaidia kama kumwambia ana kwa ana itakusumbua. Nimeifanyaga na imenisaidiaga sana. SITAKI NA SITAKAA NIMBEBE MTU, siwezi kujinywesha sumu nikitegemea mtu sijui wapi huko akafe, Ni ndoto za mchana.

Kusamehe sio kusahau... Kumbukumbu zipo.. ila kama ukisamehe halafu ukikumbuka unakuwa na uchungu na hasira za kisasi bado ujue hujasamehe (hujaachilia)

 

Na kuelewa sn my dia

Mimi mama angu ni mke wa ndoa lkn amelea watt zaidi ya 6 wa nje ya ndoa! !!!unaelewa hapa!?Manaake mi mwenyewe cwez! !
Tena anakwambia watt hawana kosa hawakuomba kuzaliwa....haya huo upandae 1
Njoo kwetu cc tuliozaliwa ndani ya ndoa, unaweza sema bora ambao wamelelewa na single mom!
Tulipata shida na mama etu pia utafikiri sisi ndo tumezaliwa nje ya ndoa.
Baba angu alikuwa anatamka kuwa hao wa nje ndo watamlea na ndo wana akili na upendo!
Leo hii huruma tu!
U can imagine tulikuwa tunamchukuaje baba angu (sisi tupo 4)kwa mama angu.
Ilifika kipindi tulitaka kumhamisha.mama tumuache baba na watt wake!
Lkn tukaambiwa tutafuta laana kwa kuwatenganisha!

Mengine cwez sema bt imagine una baba msomi ana hela bt my mom hakuwa tofauti na single mom manaake amehangaika peke yake thanks God ana kazi yake kutusomesha baba yupo busy na watt wa michepuko na hapa mimi ndo nilisema ndoa ni ushenz!

Lkn baadae nikagundua sio yy ni wa.kumsamehe tu....
Baada ya mi kunza.masters na.anayenifuatia Namshukuru Mungu baada ya kuwa vzr ndo akaanza kuona cc wa.maana....na mi km 1st born Imebidi nisimame coz unakuta sio vitu vya kawaida
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…