Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

Dah em ngoja nianze na aunt yangu maana nlimchukia sana huyu binadamu kwa aliyonitendea nkiwa mdogo..ili milango ya baraka inifungukie mie..asante kwa somo bibie
 
Lighondi
Kweli umeanza weekend wewe..... Mi naona mpka hapa tumewasamehe ndo maana wakajipitishia bajeti yao bila fujo laa sivyo tungeenda kuwachapa palepale bungeni,ila hata hivyo tuna uhuru wa kuipigia kura ya ndiyo au hapana.
 
Last edited by a moderator:
Dah em ngoja nianze na aunt yangu maana nlimchukia sana huyu binadamu kwa aliyonitendea nkiwa mdogo..ili milango ya baraka inifungukie mie..asante kwa somo bibie

Pole sana kwa kuumizwa,na Mungu akusaidie kulitekeleza hili.
 
"Forgiveness is not easy. At times, it feels more painful than the wound we suffered, to forgive the one that inflicted it. And yet, there is no peace without forgiveness." -Marianne Williamson
 
Natamani ningeweza kulifanikisha pengine mambo yangekuwa tofauti zaidi,

Unaweza sana,hujaamua tu,ila kiukweli si kazi rahisi,ila pole pole jifunze kuachilia utajikuta umekuwa mtu wa tofauti kabisa.
 
Kuna mambo mengine ni ngumu kumeza. Wazazi wengine ni hatari waliojaa uharamia na chuki. Mungu wasamehe.
 
Mungu aniwezeshe kwa kweli, naitambua nguvu ya msamaha lakini nashindwa kusamehe100%, wakt mwingine sijielewi kama nimesamehe au laa!! kuna majina nikisia yanatajwa nahisi tumbo linanijata, niombeeni jamani!!
 
Mungu aniwezeshe kwa kweli, naitambua nguvu ya msamaha lakini nashindwa kusamehe100%, wakt mwingine sijielewi kama nimesamehe au laa!! kuna majina nikisia yanatajwa nahisi tumbo linanijata, niombeeni jamani!!

Pole sana, endelea kujifunza taratibu acha kulitazama baya mtu alokutenda geuza ona yapo mema ndani yake,usimbebe mtu moyoni mwako.Jua hata wewe ni mkosaji mbele za Mungu lakini Mungu anakusamehe kila siku.
 
Si mimi ila ni mtu wangu wa karibu namuonea huruma sana kila anachokifanya hakiendi,
na ni mtu wa kinyongo aligombana na wazee wake mpaka leo hii hataki kusamehe na yule mzee mmoja alishafariki,
natamani ningeweza kumshawishi afungue moyo pengine ingebadili mustakabali wa maisha yake yote.
Unaweza sana,hujaamua tu,ila kiukweli si kazi rahisi,ila pole pole jifunze kuachilia utajikuta umekuwa mtu wa tofauti kabisa.
 
Si mimi ila ni mtu wangu wa karibu namuonea huruma sana kila anachokifanya hakiendi,
na ni mtu wa kinyongo aligombana na wazee wake mpaka leo hii hataki kusamehe na yule mzee mmoja alishafariki,
natamani ningeweza kumshawishi afungue moyo pengine ingebadili mustakabali wa maisha yake yote.

Loh! Inatia huruma sana,lakini embu jaribu kumshirikisha haka ka story ka rafiki yetu halafu muachie mwenyewe achekeche.
 
I wish nipate mtu aongee nae maanake hataki hata kusocialize jamani.
Loh! Inatia huruma sana,lakini embu jaribu kumshirikisha haka ka story ka rafiki yetu halafu muachie mwenyewe achekeche.
 
To err is human, to forgive is divine. Shukrani sana kwa kutukumbusha baraka zinazoambatana na kusamehe. Barikiwa sana mamii
 
To err is human, to forgive is divine. Shukrani sana kwa kutukumbusha baraka zinazoambatana na kusamehe. Barikiwa sana mamii

Ameen,Asante sana mamii nawe ubarikiwe zaidi.
 
I wish nipate mtu aongee nae maanake hataki hata kusocialize jamani.

Wewe ambaye unaongea naye atleast ndo mtu wa kumsaidia,hata huyu rafiki yangu alikuwa na mahusiano mabaya sana na watu,mara nyingi alikuwa ni mtu wa hasira sana,hata mahusiano ya kimapenzi yalikuwa ni shida kwake,mimi tu ndo nilikuwa nammudu na hilo niliweza kwasababu mi ni mtu wa kupotezea,msaidie rafiki yetu naye atoke kwenye hilo tatizo,hayo maisha ni ya shida na mateso sana.
 
Back
Top Bottom