mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 398
- 339
Adhari za PhD fake. 3 years off compass."Yoyote atakae tupinga tutambomoa" dah mfalme aliunguruma akiwa kwenye kasiri siku alipokuwa anawekwa wakfu..
Adhari za PhD fake. 3 years off compass."Yoyote atakae tupinga tutambomoa" dah mfalme aliunguruma akiwa kwenye kasiri siku alipokuwa anawekwa wakfu..
Tunakukumbuka na tutakukumbuka daima,Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa
That is G Code ... Mtafute Chid Benz akufungulieSijaelewa mkuu. Aliyeelewa anisaidie. Au nina chuki binafsi?
Tena tukio hilo lilibarikiwa palepale Islamabad Beirut katika viunga vya Capitol DC WashingtonIslamabad, Beirut? labda ni indrect way ya kiongelea Tz.
Jeshi la polisi kwa weledi na ufanisi wenu, tupeni link tusome kujua hatima wahanga wetu akiwemo Ben Saa8.Tunakukumbuka na tutakukumbuka daima,
Kamanda Ben Saanane
Hivi unafikiri Mungu huwa anashughirika na wapumbavu kama huyo kijana?, mungu ana kazi nyingi sana, kama wewe unashindwa kujilinda na kujiheshimu, itakula kwakoMungu ailaze roho ya huyo kijana mahala pema peponi. Mungu atamlipa kila mtu kwa anayoyafanya. Kwa Mungu haki haipotei
Hivi unafikiri Mungu huwa anashughirika na wapumbavu kama huyo kijana?, mungu ana kazi nyingi sana, kama wewe unashindwa kujilinda na kujiheshimu, itakula kwako
Chadomu bwana ni viumbe wa ajabu sn,wao wanaaamini vidole vya miguu yao vile vidogo vya pembeni,vinaakili nyingi kuliko vichwa vya watanzania woote,lkn Mchuma janga hula na wa kwao,We Kwako ushaliwa? WASUkuma bwana.
Haki inabidi itendeke!! Watu wawajibishweAliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa
His days are allready numbered.Yule Hermaphrodite! bado anapanua domo baya makanisani et "Naomba rehema teh iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii" His days are numbered!
Nilipoisoma miaka iliyopita nilidhani atarudi, sasa aliyetoa amri kapotea naye hivyo ndo imekwisha.Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake,
Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa jiji kubwa hapo Beirut akaamua kuingia kazini,
Wakatumia boti ya jeshi ambayo inapaki ufukweni mwa eneo ambapo daraja ambalo litajengwa mjini humo, akafungwa na bahati nzuri magwanda yake na scaf yake alikuwa navyo,
Mvuvi mmoja wa kisiwa cha Kluseo akaeleza kwamba wakati boti ile inelekea maeneo kuliko yale mavisiwa ambayo hawaruhusiwi kuingia waliona kama kuna mtu kafungwa kwa mbali, kwa kuwa ilikuwa boti ya wazi , lakin hawakujihakikisha zaid maana ilikuwa usiku,
Baada ya week maeneo Yale wakipita walikuta shati la kamanda huyo pembeni lina damu inayoonekana ilichuruzika kutoka kwenye mdomo au puani, na hii ni kutokana na kubanwa sana na python wa eneo lile,
R.I.P kamandaa
Magu fool kapata malipo stahiki.Siamin na wala sitaki kuamin kama ben ameuwawa
eee mungu twakuomba kama dam ya ben iko ardhin bac kila aliehusika alipwe kadr utakavo