NGOs 30 za kimataifa zimeliandikia Baraza la Haki za Binadamu UN kuitisha kikao Maalumu kuzungumzia hali inayoendelea Tanzania

NGOs 30 za kimataifa zimeliandikia Baraza la Haki za Binadamu UN kuitisha kikao Maalumu kuzungumzia hali inayoendelea Tanzania

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,409
Kufuatia matukio ya kikatili yaliyofanywa na mamlaka ya Tanzania kwa maandamano yaliyotokea baada ya uchaguzi wa rais na wabunge wa tarehe 29 Oktoba 2025, mashirika ya kiraia yanaitaka jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua ili kuzuia unyanyasaji zaidi.

Katika barua iliyotolewa leo, mashirika 30 yasiyo ya kiserikali yanatoa tahadhari kwa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu nchini Tanzania.

Wanapendekeza hatua kadhaa za kushughulikia mgogoro huo, ikiwa ni pamoja na kuzingatia taarifa ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu aliyoitoa na, ikihitajika, kuitishwa kwa kikao maalum cha Baraza.

Wito huu umetolewa kabla ya maandamano makubwa, yaliyopangwa kufanyika tarehe 9 Disemba 2025, huku kukiwa na hatari ya kutokea kwa ghasia zaidi.

 

Tanzania: the international community should act to prevent further violations​

Following the Tanzanian authorities’ brutal response to widespread protests that took place in the aftermath of the 29 October 2025 presidential and legislative elections, civil society urges the international community to take action to prevent further abuses.

In a letter released today, 30 NGOs draw UN Human Rights Council Members’ and Observers’ attention to Tanzania’s deteriorating human rights situation. They suggest several steps to address the crisis, including a public briefing by the High Commissioner for Human Rights and, if needed, the convening of a special session of the Council.

In their joint letter, the signatories:

  • Outline developments since the 29 October 2025 elections, including violence that claimed the lives of hundreds of Tanzanians who took part in protests and the ongoing crackdown on dissenting voices, independent actors, and opposition members and supporters;
  • Analyse the context in which these violations take place – that of a broader crackdown on civic space and the rule of law, as repression mounted in the electoral period, echoing previous concerns over Tanzania’s human rights record; and
  • Stress that the current human rights crisis is of unprecedented magnitude and puts the stability of the East Africa and Great Lakes regions at stake.

This call is issued ahead of major protests, planned for 9 December 2025, with risks of further violence and as “treason” charges have been brought against hundreds of Tanzanians and authorities are propagating an aggressive rhetoric targeting civil society and protesters.

The letter’s signatories highlight that the Human Rights Council “should act urgently to prevent a further deterioration of Tanzania’s human rights situation and ensure justice and accountability for serious human rights violations,” as concerns exist over the credibility of the recently-announced national commission of inquiry. The letter refers to the Human Rights Council’s prevention mandate and risks of further serious human rights violations.

“Should the situation further deteriorate,” signatories write, “States should consider convening a special session of the Human Rights Council to address the grave human rights violations committed in the context of the Tanzanian authorities’ crackdown on 2025 post-election protests and the rule of law.”
 
Sisi wengine tulionya hapa serikali kufungua magenge ya kuteka, kufira, kubaka, na kuwaua wananchi wake wanaohisi kuwa wanawakosoa ila tuliambulia dhihaka toka kwa watawala ila sasa wanapita kwenye mikusanyiko ya watu kuwalaghai kuhusiana na namna wanatumia kutuafuta haki zao.

Watu wataanza kuongea kwa vitendo.
 
CCM kama wana a shred of logic left in them, wampige chini huyu mama kabla ya mengine kuendelea.

CCM bado ndio core reason ya haya yote, ila huyu Bibi ni tatizo kubwa zaidi. Wakiendelea kumchekea atawadidimiza wote pamoja na yeye mwenyewe.
 
Wale wenye ushawishi na exposure ya kimataifa, waambieni hao mabeberu kuwa Umma wa watanzania upo pamoja nao katika kila watapanga kufanya juu ya taifa la tz.

Waambieni hata CIA ikianzisha operations zake hata za kuunda vikundi vya msituni vijana tutakuwa available sana. Wao watuletee tu mzigo na mafunzo
 

WHO ARE YOU

G7WTiheXYAAJPyd.jpg
 
Tumekua ma superstar kindezi sana dunia nzima tunaongelewa sisi tu

Huyu bi chura katuchafua sana km nchi kimataifa

We are goin down!
Tamaa ya madaraka na kutopenda kushauriwa.
 
Back
Top Bottom