Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,799
- 22,221
Ila hii nchi hii.
Siasa imetawala mpaka maeneo muhimu, siasa na uzandiki mpaka kwenye maisha ya watu.
Kiukweli kabisa hao wamasai hawawezi kupambana na dola, hilo eneo si lao tena, wataumizwa , watauawa na baadhi yao hayo maeneo mapya wala hawatayapata(kama yapo kweli).
Wapambane tu huenda shetani akawa malaika.
Siasa imetawala mpaka maeneo muhimu, siasa na uzandiki mpaka kwenye maisha ya watu.
Kiukweli kabisa hao wamasai hawawezi kupambana na dola, hilo eneo si lao tena, wataumizwa , watauawa na baadhi yao hayo maeneo mapya wala hawatayapata(kama yapo kweli).
Wapambane tu huenda shetani akawa malaika.