Ntemii
JF-Expert Member
- May 25, 2022
- 296
- 560
Hakuna picha kidogo kiichotokana na Risasi hapo hata kimoja, Inaonesha ni sime, na ni wao kwa wao. Hizi chuki za kijinga hazisaidii. Serikali iendelee kuhifadhi hiyo mbuga, na naunga mkono KICHAPO KWA HAO WALUGALUGA.
Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya ardhi, serikali inataka kufanya jambo kwa manufaa ya umma na tuiache.
Tulilalamika sana wakati nyumba zinabomolewa kule Mbezi enzi za Magu lkn leo tunafurahia barabara nzuri na zenye uhakika.
Well done Serikali, ikiwezekana kichapo kiendane na kubomoa vibanda vyao.
Umepost ukiwa wapi yeroo 🙄Hakuna picha kidogo kiichotokana na Risasi hapo hata kimoja, Inaonesha ni sime, na ni wao kwa wao. Hizi chuki za kijinga hazisaidii. Serikali iendelee kuhifadhi hiyo mbuga, na naunga mkono KICHAPO KWA HAO WALUGALUGA.
Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya ardhi, serikali inataka kufanya jambo kwa manufaa ya umma na tuiache.
Tulilalamika sana wakati nyumba zinabomolewa kule Mbezi enzi za Magu lkn leo tunafurahia barabara nzuri na zenye uhakika.
Well done Serikali, ikiwezekana kichapo kiendane na kubomoa vibanda vyao.
Mimi na Magufuli ni kitu Kimoja - Samia Hassan
Umewahi kutumia Bunduki?? Jeraha hilo ni la risasi au sime??



laah pole yake mzee huyu.Biblia inasema usishindane na mwenye pesa au nguvu.Lakini kwa upande wa sheria za duniani petu zinasema tafuta haki yako.
hii picha inaongea sana mkuu