KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,768
- 86,454
Mapambano ya kwenye mitandao yashatuchosha sasaDuh..![]()
Mapambano ya kwenye mitandao yashatuchosha sasaDuh..![]()
Mi sitaki kuandika mengi nisije minywa kende..😂Risasi za mdomoni hutoa ujumbe mpana zaidi za zile za moto... Maana watesi wetu hatuwezi kushindana nao huko
Ukiamini hilo basi ukapimwe mkojo..😂Hakuna maiti zitaokotwa tena kwenye viroba: Bernad Membe
Uhifadhi sio tatizo. Swali ni je, watu wanahamishwa na kupigwa ili eneo apewe muwekezaji..????Tuwe wakweli na wazalendo. Kama ilivyokuwa kwa ujenzi wa mradi wa Stieglers vivyo hivyo kwa Ngorongoro. Ngorongoro ilihitaji maamuzi magumu vinginevyo tukubali tu siyo hifadhi tena.
Nje ya hapo huwezi kusema kijiji ni hifadhi
Mkojo tuAu akili? Au macho?![]()
Imeisha iyo
[/QUOTE Hii kitu inanikumbusha kidagaa wa Mpwayungu Village!
Maccm yote machafu. Likiwa lina afadhali nyuma basi mbele lichafu 😬Majaliwa tangu atudanganye jiwe linatusalimu na ni lizima la afya kumbe limefia pale mzena BASI KUMUAMINI HAIWEZEKANI. Ccm imeuza nchi na kweli jiwe tunalikumbuka japo sasa ni fuvu pale chato. Ila jiwe liliua watu sana japo tunalikumbuka.
Khaa!