Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

Kituo kinachofuata. Wachaga wote peleka Ethiopia maana wanavuta hewa nyingi inaharibu barafu ya Kilimanjaro, baadaye tumuuzie mjerumani mlima maana hakuna namna sasa.
 
Usipotoshe ukweli kuna dharura gani kwenye swala la Ngorongoro? Pesa ya dharura ni kwa ajili ya majanga kama mioto mikubwa, mafuriko, baa la njaa magonjwa ya mlipuko nk
Hata hiyo ni dharura kwa sababu haikuwemo katika bajeti ya mwaka.
 
Back
Top Bottom