Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Umeona ehh!
Hivi vitu ni duniani kote!
Basi hata Wamarekani na watu wa Ulaya watakua na vyakwao pia?

Nasikiaga ngano na simulizi nyingi kua hata Wajerumani wanazo sana hizi mambo

Zamani tukiambia hata Wachina katika shughuli zao za ujenzi wa barabara na madaraja wanatumia "utamaduni". Sijui kuna ukweli gani hapo!
 
Basi hata Wamarekani na watu wa Ulaya watakua na vyakwao pia?

Nasikiaga ngano na simulizi nyingi kua hata Wajerumani wanazo sana hizi mambo

Zamani tukiambia hata Wachina katika shughuli zao za ujenzi wa barabara na madaraja wanatumia "utamaduni". Sijui kuna ukweli gani hapo!
Ni kweli kabisa walahi
Wao wanazitumia sana kwenye maendeleo sio kuumizana wenyewe kwa wenyewe!
Kuna binadamu wenye upeo wa hali ya juu sana, na sisi sasa tu focus kwenye maendeleo kama wenzetu wahindi, wachina, wadhungu, waarabu n.k walahi
 
Ngoma za mashetani nyingi huchezwa kwa siri, na mtu mmoja au zaidi.
Ni chache sana huchezwa hadharani.
Unapoenda kwa mganga wa kienyeji na unapokea mashariti ya kiganga, pale unapotekeleza yake mashariti ya kiganga, ndipo hasa unapocheza ngoma za mashetani, sio lazima hadi upigiwe ngoma na wewe ukanengua nengua na kunema nema ndipo uthibitike kucheza ngoma za mashetani.
Pale unapotekeleza matendo ya mashariti ya waganga wachawi waaguzi, wapigaramri, hapo ndipo unapocheza ngoma za mashetani.
Hivyo unaweza ukafika mahali usizione ngoma za mashetani kwa macho ya nyama, lakini ndipo panapochezwa sana hizo ngoma.
Ushanifahamu hapo ndugu ?
 
Ni kweli kabisa walahi
Wao wanazitumia sana kwenye maendeleo sio kuumizana wenyewe kwa wenyewe!
Kuna binadamu wenye upeo wa hali ya juu sana, na sisi sasa tu focus kwenye maendeleo kama wenzetu wahindi, wachina, wadhungu, waarabu n.k walahi
Upo sahihi mkuu.

Ni utamaduni tu, kila watu wana tamaduni zao, hata watu maarufu ikifika kipindi cha sherehe zao za kitamaduni unasikia wamerudi nyumbani kujumuika nao.
 
Kufanyaje kukatika au??? Kigombe???? Naipata hicho kitongoji kipo upande upi? Je huku baharini au kwa juu
Kuna kijiji kimoja kinaitwa Kigombe njia ya kuelekea pangani, kitongoji kinaitwa sinawe - kila mwaka.

Kuhusu ukiwa na shetani kichwani ukipita karibu au ukiwa maeneo ya karibu unajiunga kusheherekea, kama kichwa kigumu utamkuta hapandishi lkn anaziimba nyimbo zote zinazochezwa kwa kuitikia mwanzo mwisho na kutikisa kichwa kwa mbali.

Pongwe pia goi linafanyika kila mwaka.
Raha ya goi ujue ku.. madam s
 
Ni kama unyago kaka??
Zamani inasemekana ilikua ngoma ya ndani lakini siku hizi ndio imejulikana kwanini ilikua inafichwa

Ni ngoma ya wa s.e.n.g.e na unashangaa kwamba haya mambo yalikuwepo miaka mingi nyuma! Ndio maana laana inaingia kwenye kizazi hiki aisee
 
Hahahahhaha anatakiwa asimamie ahad zake s unajua kaka??? Ukisema utakuja uje kweli sio wasema waja halaf jkazama mazima na tarifa usitoe sio vizur kaka angu ngoja aje hapa
Unajua wewe ni ngumi mkononi sister

Yaani hapo unataka kulianzisha. Haya basi mimi nimemsamehe, usianze kuzikusanya hasira sasa😀😀😀
 
Back
Top Bottom