Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Ni unyago hasaa dada. Wakati huo akifunzwa ama mwari au bi harusi mtarajiwa namna ya "kuishika" ndoa isitetereke

Tatizo langu liko hapoo kwamba hata hao wazee wa zamani walikua wakiwashirikisha mashoga sijui walikua na mpango gani nao!!?
mimi hata sjui halaf pia zamani bibi harusi mtarajiwa hukaa kwa kungwi hata mwezi siku hizi wiki moja no wonder hata hizo ndoa hazidum japo mtu hutoka na tabia kwao

Unyago hua wanacheza kivyake siku hizi au ndio mambo yamebadilika kaka?? Na kwa nn hua wanachapwa fimbo? Tamadun hizi kuhusu kushirikisha unyago mashoga ndio umenijuza ww
 
iyo ngoma ndio PUNGWA au.....Ndio ngoma za kuita pepo/maruhani/kiti......ni ktk aina za ushirikina...Ni bora kwa mcha mungu kujiepusha nazo.
 
Endelea mbele ufike jaribu tena, marungu mpaka mlima wa kirare.

Au rudi kuanzia saruji, rozmini, maweni, kange..

Mimi sijawahi kufika tanga, sema nasoma google map hapa kutambua hayo maeneo
Hahahaaa ngoja na mimi nisome google map kama ntaweza kupaona Mwambani kwa kina Omar Yanga na Mzee Makallo
 
yani nnachojua hizo ngoma zikipigwa kama unashetani ,unapita hapo hata kama una gari unapaki unaenda kucheza yani outomatical
ila sijajua zina nia gani
 
Hahahaaa ngoja na mimi nisome google map kama ntaweza kupaona Mwambani kwa kina Omar Yanga na Mzee Makallo
Ulipoanza maranzara, nilijua utapitia maeneo ya basi na kifumbini, rudi nyuma mpaka migombani mpaka utokee dumizi au utashuka kushoto kuelekea machinjioni kupitia soko mjinga mpaka kanisani kwa masista.

Mkuu google map inasaidia sana
 
Back
Top Bottom