Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Ni unyago hasaa dada. Wakati huo akifunzwa ama mwari au bi harusi mtarajiwa namna ya "kuishika" ndoa isiteterekeNi kama unyago kaka??
Tatizo langu liko hapoo kwamba hata hao wazee wa zamani walikua wakiwashirikisha mashoga sijui walikua na mpango gani nao!!?
