Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Umezijuaje kama zinaitwa za Mashetani? Au umeshazipa jina tayari mkuu?
Kwa ufupi ngoma na vinanvyohusiana navyo ni matawi ya shetani. Sasa kuanzia hapo kama unataka kujua umuhimu wake itakuwa unahitaji licha ya UHASI wake (negativity).
Ahamad, nakwambia ni hapa mtaani. Wamenialika kuja kushuhudia ngoma za mashetani, walionialika wananiambia! na ndivyo ilivyo mtaa mzima! unakataa nini?
 
Dah sasa kukataliwa ndio umuangaze mwenzio binadam wabaya sana, bora kama alipona na kama ungekula huyo kuku angekudhuru sababu hukua na mpango wa kumla
...alitupiwa jini baada ya kuchumbiwa na mkaka mmoja (alikuwa anaishi Msambweni) na akamkataa yule akamwambia utanijua mimi nani

Ila tunashukuru alipona


Sikula kwa sababu kile ninachokiamini
Naamini yule mnyama au kuku aliyechinjwa kwa maudhui ya kitoweo na si kwa uganga
 
Ngoma za mashetani zipo na zinamanisha kama jina lake linavyotajwa ila huchezwa tofauti kutegemea aneo husika na lengo la ngoma hizo.
Ngoma hizi huchezwa sana katika maeneo ya.

Mikoa ambayo ina wachawi wakubwa, vingunge, mkoa unaoongoza ni÷
1. Tanga 2. Lindi. 3. Daresalaam. 4. Mtwara. 5.Tabora. 6. Kigoma.
7. Mwanza.

Mikoa yenye wachawi wengi kwa idadi, inaongoza÷
1. Rukwa (hasa eneo la sumbawanga) 2. Pwani 3.Ruvuma. 4.Mbeya 5. Singida.

Mikoa inayopenda ushirikina sana (wateja wa waganga wa kienyeji)
1. Kilimanjaro 2. Morogoro, 3.Kagera.

Kwa mujibu wa utafiti wa wachawi wenyewe.

Ngoma hizo, pamoja na matendo yake, huchezwa kwa miongozo ya mashetani wenyewe na wengi hupandisha mapepo wakati wa kucheza ngoma hizo.
Hizo ni aina mojawapo za ibada za mashetani.
Jiepusheni na Ibada za mashetani.
 
Hata pale Magaoni Tairi 3 alikuwepo mdogo wangu aliugua mashetani tukafanya hayo mambo kuku wa kutosha tukawachinja ila sikula hata mmoja
Hata msambweni karibu na mabawa - tanga wanazicheza hizo ngoma za GOI kila mwaka. Sisi tulikuwa tunapenda kusikiliza zumari likipulizwa

Ukiingia na njia panda ya msambweni, mtaa wa kwanza unauacha, unaingia mtaa wa pili, upande wa kushoto nyumba ya 6 kama sijakosea.

Kuna mzee mmoja maarufu hapo anaitwa mzee Ras*** kila mwaka ikifika watu kutoka maeneo mbali mbali wanakuja hapo "wakati mwingine inafanyika mara 2 kwa mwaka".
 
hahaha huyo mama mtaani kwangu ni maarufu kwa hizo ngoma

Na sjui why zinajaaga mashoga ndio wachezaji

Me sjambo kaka angu hofu kwako
Mh, sidhani kama ni mashoga, kuna akina mama watu wazima sana. Watu na magari yao ya kifahari, etc. Sijaona dalili za shoga , hapana, sijui Madame S, wewe nadhani unaweza kutujuza vizuri!
 
Fatilia utaona, mashoga watajaa na ndio watakua wachezaji me kwa huyu mama nimeona na s kwa huyu tu wengi sana husema hivo hizo ngoma na mashoga huenda hivi
Mh, sidhani kama ni mashoga, kuna akina mama watu wazima sana. Watu na magari yao ya kifahari, etc. Sijaona dalili za shoga , hapana, sijui Madame S, wewe nadhani unaweza kutujuza vizuri!
 
sjui hua zina maana gani, na ng'ombe wanaochinjwa hapo si mchezo, nakumbuka niliwah kupita karibu mana hua watu wanajaaga nikaona huyo mama memtaja kwa mbele kaweka kitu kama mapembe na manyasi nyasi pembe kazifunga na kitambaa chekundu anaenda na beat ya ngoma ile nilikua na maswali mengi sana bora hii mada imewekwa hapa nipate kujifunza halaf sasa navosikia wanawekwa maziwa sjui miwa asali wanatenga kabisa katika sinia then wanaweka kwneye chumba kinajulikana kama kilinge yan ndio wametengewa hao mashetani hahahahaha naomba tu leo nijifunze mana naona kudanganyika tu na maswali kibao kichwan kwangu


Kumekucha kaka
exactly uliyoyasema, yote yapo now! watu wazuri hawakatazi kuangalia, ni muda wako
 
Zumari sipendi zinavyolia ndio hizo meziita nai kumbe ni zumar hili jina goi ndio hutumika sana kumbe na wewe wa huku
Hata msambweni karibu na mabawa - tanga wanazicheza hizo ngoma za GOI kila mwaka. Sisi tulikuwa tunapenda kusikiliza zumari likipulizwa

Ukiingia na njia panda ya msambweni, mtaa wa kwanza unauacha, unaingia mtaa wa pili, upande wa kushoto nyumba ya 6 kama sijakosea.

Kuna mzee mmoja maarufu hapo anaitwa mzee Ras*** kila mwaka ikifika watu kutoka maeneo mbali mbali wanakuja hapo "wakati mwingine inafanyika mara 2 kwa mwaka".
 
Hata huku kiwalani na vingunguti huwa Kuna mganga anachezesha ngoma sizielewagi maana mizuka huwa mingi kiasi kwamba anajipasulia chupa kichwani
 
Back
Top Bottom