Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Fatilia utaona, mashoga watajaa na ndio watakua wachezaji me kwa huyu mama nimeona na s kwa huyu tu wengi sana husema hivo hizo ngoma na mashoga huenda hivi
Mashoga unamaanisha mabinti ma-shost au wale waliothirika na ushoga?

Maana umetumia tungo tata
 
Zumari sipendi zinavyolia ndio hizo meziita nai kumbe ni zumar hili jina goi ndio hutumika sana kumbe na wewe wa huku
Kuna kijiji kimoja kinaitwa Kigombe njia ya kuelekea pangani, kitongoji kinaitwa sinawe - kila mwaka.

Kuhusu ukiwa na shetani kichwani ukipita karibu au ukiwa maeneo ya karibu unajiunga kusheherekea, kama kichwa kigumu utamkuta hapandishi lkn anaziimba nyimbo zote zinazochezwa kwa kuitikia mwanzo mwisho na kutikisa kichwa kwa mbali.

Pongwe pia goi linafanyika kila mwaka.
Raha ya goi ujue ku.. madam s
 
Hiyo inaitwa chano. Inakua na vitu vitamu kama miwa, asali, ndizi kusukari, halua, mkate wa kumimina na vitu kama juice ambavyo huwekwa kwenye sinia

Wanasema hicho ni chakula cha hao mashetani ambao huja kupitia miili ya binadamu na kuja kula hivo vitu. Katika baadhi ya makabila na koo jambo hili linafanyika kila mwaka na wanapiga na hizo ngoma za kuwaalika hao viumbe

Inasemekana kua hiyo ni aina ya matambiko kama matambiko mengine yanayofanywa kwa aina tofauti kwenye makabila mengi hapa nchini au Afrika kwa ujumla

Kuna wakati Tanga zinapopigwa hizi ngoma huwa wanatembea barabarani mchana kweupe, wanaume wakiwa vifua wazi na wanawake manyonyo nje!

Wanaoshiriki mambo haya wanadai inawafanya wakae vizuri katika maisha yao kwa mwaka mzima. Yaani ni matambiko ya kuondoa mikosi ya kuumwa, kuharibikiwa na mambo ya kazi au biashara, kuvurugikiwa na mahusiano ya kifamilia kama vile ndoa n.k

Jambo la kushangaza kama nilivosema awali ni kwamba hata waliowasomi na wenye exposure kubwa kwenye hizo koo ikiwemo waliowahi kuishi Ulaya na Amerika wanaamini na kushiriki hayo mambo!
True!
Hata Israel ni New Year this month, hivyo wanaweka sweet food ili miaka iwe na baraka!
1CB32DCF-4304-4AF6-BB74-91E6DF2D9D04.jpeg
1CB32DCF-4304-4AF6-BB74-91E6DF2D9D04.jpeg
 
Mshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Usiseme ngoma za mashetani heshimu mila za watu, wewe ushamezwa mila za kizungu unaziona hizo ni ushetani
 
Hapana usomi haukufanyi usahau au upuuze mila Beef Lasagna

Kinachogomba hapa ni mila zisizofaa kama kutembea matiti wazi kwa wanawake tena wakiwa wamechanganyika dada, kaka, shangazi, mjomba n.k, kutukana matusi ya nguoni mbele ya watu wako unaowaheshimu, na mengi mengine yanayokera
Nadhani hizo ngoma huwa wanapiga nakucheza.

matusi au lugha chafu hakuna jamii ya kitanzania inaziunga mkono.

hivi vitu Elimu, dini na mila za asili Hivi vitu vimeachana sana. Haviingiliani kila kimoja kinajitegemea kwa namna yake.
 
Back
Top Bottom