Wewe mdigo pia. Hebu tuambie kwa kina.Bora umeuliza jirani, unakufaham kwa mwananyange?? Halaf naskia ukipita karibu kamauna jini kichwani waweza jiunganao kwenye ngoma yao, hapo itakua tukwa kibao
Wengi hata kimaendeleo wako nyuma sana,hilo kabila kwa Tanga ndo liko nyuma sana kiuchumi kielimu pia sababu ya shirki.Ni mambo yanachanganya sana dada. Mimi hua sielewi kama shetani ndio jini au ni vipi!
Hicho kifudu simchezo maana wanakua kama ngoma ya Mfalme Mswati anachagua mke, na pia matusi nje! Tena hapo wamechanganyika mama, watoto, kaka, dada.shangazi n.k
kwa vigezo vyote hiyo ni shirki tu dada. Na ni makabila na koo nyingi wanayo haya mambo ila hutofautiana namna ya kufanya
Umenichekesha kweli dada, inamaana kapewa dawa fekilakini tatizo lake likaisha!imani kaka, imani n kitu cha ajabu sana
Nakumbuka wakat niko vanga, kuna babu mmoja na yeye ni mganga, alikuja mdada siku ya kwanza akasema usiku anaota ndoto za ajabu ajabu kaja kutafta tiba ndoto zil zikate, akaambiwa aje siku inayofatia, sasa yule babu ni tapeli si mganga halisi, kulipokucha dada wa watu akaja wakat huo babu alishasahau kama kuna mtu atafata dawa alichokifanya akamwagiza mtoto wa mkewe wa kwanza et akamletee dawa, sasa me nilikua uwani na bibi huyo mke wa huyo babu, akaja yule kaka akachukua rangi za ukili najua wazijua akadondoshea kidogo kwneye maji ya lita moja akayachanganya aakanifanyia ishara ya kua kimya nikabaki nasikitika na kucheka akapewa jinsi ya kutumia kombe hilo feki baada ya siku tatu akaleta mrejesho ndoto zimekata asee nilicheka sana
Kwani mkuu usomi kunakufanya MTU kusahau mila na utamaduni wako??Hizo ngoma ni maarufu kwenye mikoa kama ya Tanga, Kigoma, Tabora, Mwanza na Dar na utashangaa kuna hata wasomi na watu wenye exposure huwa wanashiriki
Miye sijambo pia namshukuru Mola
sauwaa nimekuelewautajitaftia laana shaur zako
Inawezekana kabisa mkuu, sio Afrika tu hata Caribbean kama Haiti na Dominica ambapo ngozi nyeusi ipo kwa wingi hizi mambo zipoHizo ngoma ni matawi ya Freemasonry na wote hao ni Freemasonry, sawa na ngoma za vodoo za west Africa.
Vijijini kwenye unyago,au kwenye mila zinazotahiri vifua wazi viko vingi tu kama mswati,utamaduni wa kuvaa nguo tumeletewa na wazungu.Aibu ni baada ya kuishi mjini vijijini sehemu zingine kuwa uchi ni kitu cha kawaida wala hakuna ashangae,mtoni mnaoga wote,hakuna anaejali.hahahaha sasa unataka kuyaona maziwa ya dada zako,mashangazi zako bibi zako utapofuka
Kote huko pia lazima umasikini na ujinga utamalaki maeneo hayo.yanaitwa matambiko.Inawezekana kabisa mkuu, sio Afrika tu hata Caribbean kama Haiti na Dominica ambapo ngozi nyeusi ipo kwa wingi hizi mambo zipo
Usecular ndio nini!!Bro mambo ya kishirikina yote huongozwa na ujinga.
Pili,sijawahi kuona usecular ukioinga juu yamambo haya,labda unionyeshe leo ni wapi usecular unapinga mambo kama haya au mfano wake.
Hapana usomi haukufanyi usahau au upuuze mila Beef LasagnaKwani mkuu usomi kunakufanya MTU kusahau mila na utamaduni wako??
Sahihi kabisa mkuuKote huko pia lazima umasikini na ujinga utamalaki maeneo hayo.yanaitwa matambiko.
Tanga wanazicheza sanautajitaftia laana shaur zako
ndio mana nikakwambia imani kaka, mtu akiamini hua, yan nilicheka sana ile siku nikagundua waganga wengi sio wa kweli,Umenichekesha kweli dada, inamaana kapewa dawa fekilakini tatizo lake likaisha!
Huoni ni mambo ya saikolojia tu hayo? Waganga wanapiga hela balaa na wateja hawaishi maana wajinga wapo wa kutosha
Lakini pia kuna dawa za mitishamba za magonjwa ya kawaida kama chango la watoto, vidonda vya tumbo, kuumwa kichwa n.k
Hizi zipo na wanafanya watu ambao wala hawajiusishi na ushirikina
kuna ile shetani anataja jina nayo inakuaje?? Mimi haya mambo mekuja yaona huku tanga, karibu waganga wengi hufanya hivi hizi ngoma huku n maarufu sana na zile nai zikipulizwa mm zinanikera sana saa zingine hakuja kucha unazisikia ni kazi jaman mambo mengineTanga wanazicheza sana
Wakati niko mdogo palikuwepo na babu basi walikuja watu wanaopandisha sisi tunaita (Majini) kumtibu mtu huyo ngoma zilikuwa zikipigwa na kufanya sherehe (Chano) na kafara (hapo utaaguliwa na kuchanjwa chale mwilini) kisha watakiweka dawa tena huwa wanafanya pale yule jini anapopataka mfano chini ya mti,njia panda au hata kwenye vile vijumba vya waganga ambavyo hujengwa maeneo maalumu kwa mujibu ya ndoto zao.
Mwishowe mtu anapona
(Chano inatumika pia pale mama mzazi anapoenda kwa babu na kuaguliwa kwa lengo la kumkinga mtoto na wanga au watu wenye vijicho ili asipigwe "zongo" na "visimo" tena vya kizeia
"Nakumbuka yule aliyeniibia shilingi 4,000,000 milioni nne na kwenda kwa yule babu yangu na baada ya siku nne yule mwizi alikuja kwangu na kiasi cha zile pesa hazijapungua na aliniomba msamaha eti nimsamehe alikosea"
Anyaway nilishaondoka kijijini kwa sasa niko mjini na haya mambo hayana nafasi tena kwangu
Dogoli, waathirika wengi ni kina mama wasio na elimu. Ni mara chache sana kukuta wababa na kina mama wasomi.Mshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Dah! Milion nne ikarudi nzima nzima mkuu, hahahaa si mchezo aisee"Nakumbuka yule aliyeniibia shilingi 4,000,000 milioni nne na kwenda kwa yule babu yangu na baada ya siku nne yule mwizi alikuja kwangu na kiasi cha zile pesa hazijapunahagua na aliniomba msamaha eti nimsamehe alikosea"
Vijijini kwenye unyago,au kwenye mila zinazotahiri vifua wazi viko vingi tu kama mswati,utamaduni wa kuvaa nguo tumeletewa na wazungu.Aibu ni baada ya kuishi mjini vijijini sehemu zingine kuwa uchi ni kitu cha kawaida wala hakuna ashangae,mtoni mnaoga wote,hakuna anaejali.
Bora umeuliza jirani, unakufaham kwa mwananyange?? Halaf naskia ukipita karibu kamauna jini kichwani waweza jiunganao kwenye ngoma yao, hapo itakua tukwa kibao


hizo ngoma ni upuuzi mtupu.
ayasauwaa nimekuelewa