Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Angalia usije ukapandisha jini Maimuna dada😀😀😀kuna ile shetani anataja jina nayo inakuaje?? Mimi haya mambo mekuja yaona huku tanga, karibu waganga wengi hufanya hivi hizi ngoma huku n maarufu sana na zile nai zikipulizwa mm zinanikera sana saa zingine hakuja kucha unazisikia ni kazi jaman mambo mengine
Maana zile harufu ukianza kusikia zinakukera hua ndio chanzo cha kua "Kiti"
