Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Kwa mujibu wa Sheria za Nchi mbalibali duniani Mahakama za Nchi husika zinaweza kutoa hati ya Kukamatwa Wahutuhumiwa Wanaotuhumuwa kutenda Makosa dhidi ya Binadamu.
Kwa kuwa Chombo kikubwa kabisa cha habari duniani CNN kime confirm kuhusu vyombo vya Ulinzi na Usalama kuua raia kipindi na baada ya Uchaguzi nchini Tanzania sasa kinachofuata ni Kesi mbalimbali kufunguliwa Mahakama za ndani kwenye nchi mbalimbali ikiwemo za Ulaya na Marekani na kwingineko kuziomba Mahakama husika kutoa Hati za Kuwakamata Samia, DGIS, IGP na CDF kwa mauaji ya Maelfu ya Watanzania wakati wa Uchaguzi mwaka huu.
Hili lilifanyika dhidi ya Watuhumiwa wa Mauaji ya Rwanda, hivyo haitakuwa vibaya likifanyika hapa Tanzania pia.
Kwa kuwa Chombo kikubwa kabisa cha habari duniani CNN kime confirm kuhusu vyombo vya Ulinzi na Usalama kuua raia kipindi na baada ya Uchaguzi nchini Tanzania sasa kinachofuata ni Kesi mbalimbali kufunguliwa Mahakama za ndani kwenye nchi mbalimbali ikiwemo za Ulaya na Marekani na kwingineko kuziomba Mahakama husika kutoa Hati za Kuwakamata Samia, DGIS, IGP na CDF kwa mauaji ya Maelfu ya Watanzania wakati wa Uchaguzi mwaka huu.
Hili lilifanyika dhidi ya Watuhumiwa wa Mauaji ya Rwanda, hivyo haitakuwa vibaya likifanyika hapa Tanzania pia.