keneth ndege
Member
- Feb 3, 2017
- 8
- 3
Song kali sana haina pinda pinda wala mashairi kama ya Fareedy kubanda AKA Fd Q;hivyo basi usipoelewa sijuiiii.
Iko tayari kwenye simu yangu hakuna Wa kunipangia niwe nini kwenye simu yangu INA ujumbe ambao wachache tumeuelewa bila yoga wowoteMkuu hiyo nyimbo Basata watashughulika nae. Ni suala la muda tu..
Kuna mtu wenu ametajwa huko?Halafu akishikishwa adabu mnasema nchi ina udikteta....
Kama kutukana wote wametukana,baghdad amefichaficha sana ayuko direct ina ney kamwaga wazi kila kitu nyimbo inaomuongelea mkulu..
Kwani umeelewaje hapo mkuu? Kwa mfano marinda umeelewa nini? Kuna chochote pengine ukakielezea kwa ufahamu mpaka unahisi kuna makosa labda!!!Halafu akishikishwa adabu mnasema nchi ina udikteta....