Acha agonge, hawawezi kuisha.....kuna watu kibao ni wazuri....mazoea hayatakiwi kabisa!!!!....freedom of speech but, after speech not applicable¡!!!! Wahenga walisemaAtagonga wangapi mpaka waishe?
Acha agonge, hawawezi kuisha.....kuna watu kibao ni wazuri....mazoea hayatakiwi kabisa!!!!....freedom of speech but, after speech not applicable¡!!!! Wahenga walisemaAtagonga wangapi mpaka waishe?
Ataipa kazi familia yake kwenda kushinda centro asimwige MANGE mwenzake anakula upepo kwa Trump.
Search goolgeIpi hyo?
HahahaSijui watatafut sababu gani, maana imetumika TAFSIDA na hajatajwa mtu. Kama wakiufungia basi wanamjua BASHITE wa KOROMIJE.
hahahaHuyu jamaa anaweza hata kujilipua,inaonyesha ana DNA za afghanstan
Kwel etyhili bodaboda watalipakua fastaaa mpaka BASATA waje walifungie litakuwa limeshapigwa hadi limepaukaa