chiko mkunungu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 729
- 645
baghdad amefichaficha sana ayuko direct ina ney kamwaga wazi kila kitu nyimbo inaomuongelea mkulu..Mbona hata Baghad ameongelea suala la Bunduki? Au wewe hujauskiza vizuri? Mi nadhani Baghdad wimbo ameuandika jumapili usiku, manake hadi neno SISHINIKIZWI amelitaja