Acha roho mbaya mrembo!Ngoja ni kuombee kijana!Eehee zee la madevu naomba umbariki huyo kiumbe mwenye uchu wa ngono, madaraka, pombe na pesa! Umpunguzie ule umri wake wa kula bata hapa mjini na ikiwezeka kwa uweza wako mpe uhamisho wa kudumu akaishi aheraa Amina!!Jiombee mwenyewe....
I would really appreciate it if you would stay outta my hair..THANK YOU!Acha roho mbaya mrembo!Ngoja ni kuombee kijana!Eehee zee la madevu naomba umbariki huyo kiumbe mwenye uchu wa ngono, madaraka, pombe na pesa! Umpunguzie ule umri wake wa kula bata hapa mjini na ikiwezeka kwa uweza wako mpe uhamisho wa kudumu akaishi aheraa Amina!!
Mmmmmmmmm!!!!I would really appreciate it if you would stay outta my hair..THANK YOU!
Hakuna haja ya kuandika kama unapita tu,sever inasema idadi ya waliopitia hiyo post!!Napita tu hapa
Thank you very much..,.Mmmmmmmmm!!!!
If those from your heart!! My minjino njenje kwiiikwiiii tehee teheee! Bwaaaaabwaaaaaabwaaaa kohoookohoooo asenti!!!!!!!!!!!!!!!!!!Thank you very much..,.
Mmh...Kwa mila na desturi za kitanzania, ukweni ni pahala pakuonyesha ni dhamu ya hali ya juu.Hivyo epuka tabia zako za urafi,umbea, upayukaji,uchafu,uzizi, uvivu,uchoyo na kiburi pia kama unaenda shemeji usitumie mwambie kulialia na kusema ovyo asidhubutu maana wakwe mtawatia majaribu.Nakutakia safari njema dogo.
Nimeipenda hii mkuu ahaaaaaaaa! Haaaa!So unaenda kuongeza mkataba wa ndoaaaaa au ku'terminate????
Kwani unaenda kupanga mipango ya kuichoma moto tz.Pray for me MMU Members in the next week's Event